Hotuba ya Uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali, 2014 / 2015

Kusema kwamba ni mbaya au ni nzuri kiukweli nitadanganya,ila siku bajeti ni kitu kinachoendana na hali halisi
na mazingira au ni jinsi gani mkubwa wako/mfadhili anavyotekeleza wajibu wake.

Na wakati mwingine bajeti inategemea ni jinsi gani wale wanaopelekewa bajeti hizo wanatimiza matarajio ya
bajeti.

Vile vile bajeti inaweza kuongezeka kwa maana ya kutimiza malengo fulani kwa ukamilifu au inaweza kupungua
kwa kiasi fulani ili kujifunga mkanda wa kutokutegemea misaada au mikopo inayoweza kuongeza deni la Taifa.
 
PAYE hutegemea kiasi cha mshahara unaopata. hata siku moja haiwezi kuwa sawa kwa kila mtu yaaani 14%. Mathalani mimi hapa nalipa PAYE 25% ukiniambia PAYE ni 14% nakuona kama mwendawazimu vile. watu tubadilike na tufikiri zaidi siyo kila kila ukipewa unameza tu.



The concept of PAYE is based on 6 levels as following:

Level 1
Pension amount equal to 10% of the gross salary is not taxable
Hence
Taxable salary = Gross Salary – Pension amount

Level 2

Taxable salary that is equal or less than TZS. 170,000/= is not chargeable

Level 3

Taxable salary Between TZS. 170,000/= and TZS. 360,000/= is charged 14%

Level 4

Taxable salary Between TZS. 360,000/= and TZS. 540,000/= is charged 20% Plus tax from Level 3

Level 5

Taxable salary Between TZS. 540,000/= and TZS. 720,000/= is charged 25% Plus tax from Level 4

Level 6

Taxable salary above TZS. 720,000/= is charged 30% Plus tax from Level 5

Download hii excel calculator hapa

http://www.kivuyo.com/?file_id=24


Based on this concept
A staff whose gross salary is TZS 1,000,000/= (One million Tanzanian Shillings) as an example is taxed as follows:

 
Wale walioiba EPA Arobaini hazijafika?
Wale wa ESCROW ac bado hazijafika 40



KESI YA EPA: Maranda, Farijala wafungwa miaka 5 [Kada wa CCM Rajabu Maranda (kulia) na binamu yake Farijala Hussein, wakitoka katika Mahakama ya Hakimu ...

Escrow, hakuna wizi hapo, mambo yako kwenye uchunguzi. Siwezi kuhukumu kwa sasa, lakini kila nikisoma habari zake naona hakuna wizi, kuna kuzidiana maarifa ya kibiashara tu.​
 
Kama hayo ni ya kweli basi CCM ingekuwa ilishaishiwa viongozi .................!! Nafikiri hiyo ina-apply kwa wezi wa kuku na karanga tu!

Kama una ushahidi wa wizi wa viongozi wa CCM unangoja nini kwenda mahakamani, kama hujui namna ya kushitaki nenda na ushahidi wako kwa Mtikila.
 
pato la taifa kwenye pombe na sio madini,jinga wewe

Mimi nilitegemea kufutwa kwa misamaha ya kodi kwenye makampuni ya madini ambayo yamekuwa ni kilio cha watanzania wengi miaka nenda rudi lakini kimya tena kwa Mara nyingine,masikini kabisa wa nchi hii ndio anazidi kunyonywa ili kuendesha serikali hii ya kifahari ambayo sijawahi ata siku Moja ikiamua kupunguza matumiz yake yasiyokuwa ya lazima ili kutuondolea huu mzigo wa kodi sisi walalahoi.
 
Kusema kwamba ni mbaya au ni nzuri kiukweli nitadanganya,ila siku bajeti ni kitu kinachoendana na hali halisi
na mazingira au ni jinsi gani mkubwa wako/mfadhili anavyotekeleza wajibu wake.

Na wakati mwingine bajeti inategemea ni jinsi gani wale wanaopelekewa bajeti hizo wanatimiza matarajio ya
bajeti.

Vile vile bajeti inaweza kuongezeka kwa maana ya kutimiza malengo fulani kwa ukamilifu au inaweza kupungua
kwa kiasi fulani ili kujifunga mkanda wa kutokutegemea misaada au mikopo inayoweza kuongeza deni la Taifa.

Sina hakika kama nimekuelewa. Lakini unachokiona bungeni ni maigizo tu. Hiyo bajeti hata iwe nzuri namna gani, haitatekelezwa. Ikishapitishwa, wanaweka pembeni wanaendelea kufanya mambo yao. Ukitaka kuelewa nachokisema, fuatilia ni kwa kiasi gani bajeti ya miaka mitano iliyopita ilitekelezwa. Wanataja namba tu hapo bungeni, lakini kwenye utekelezaji wanafanya vitu tofauti. Miradi mingi haipati fedha kama zilivyoainishwa kwenye bajeti. They are simply pretending to be doing something.
 
Kwa hili la PAYE ni usanii mkubwa wengi hawajaelewa fumbo hapa:
Ni hivi
kama mshahara wako hauzidi 170,000 hukatwi kodi kwa maana hiyo hakuna punguzo ukilinganisha na mwaka Jana !

Mshahara wa chini unaokatwa kodi ni Tsh 190,000/ inayongezeka juu ya 170,000 ili kufikia 360,000/ Huhu ndio umepata nafuu ya kodi ya Sh 1,900/ tu yaani awali 190,000/ ilikuwa inakatwa 13Pct na sasa itakatwa 12pct

Stage inayofuata ni 180,000/ juu ya 360,000 ili kufika 540,000/ katika hizi kodi imebaki pale pale ni 20pct

Stage inayofuata ni 180,000 juu ya 540,000
na kufikia 720,000/
Hii kodi yake inabaki pale pale ni 25Pct

Stage ya mwisho ni chochote kilicho zaidi ya 720,000/ ambayo hukatwa 30 pct hii kodi yake inabaki pale pale

Kwa maana hiyo ili kumpunguzia mwananchi makali serikali sikivu ya CCM imempunguzia kila mfanyakazi anayepata zaidi ya sh 360,000/ kodi kiasi cha sh 1900

narudia tena kiasi cha sh 1900
 
Salaam wana jamvi,imekua ni kawaida kwa serikali yetu kuongeza kodi kwenye bia,soda sigara na mvinyo nyingine ili kuongeza pato kwenye bajeti yake kila mwaka.je hakuna vyanzo vingine vinavyoweza kuongeza pato la taifa kwenye bajeti?kwa mfano tuna dhahabu ,madini ya tanzanite nk.na ni kwanini rais,mawaziri na wabunge wasikatwe kodi kwenye miashahara yao?au kodi inatakiwa kutozwa kwa watumishi wa ngazi za chini tu?hamuoni kama kwa kufanya hivyo tunaongeza ugumu wa kupambana na umasikini.mimi naona umefika wakati sasa wa rais,mawaziri na wabunge kulipa kodi ya mapato kila mwezi maana huko ndio kujenga taifa kazi yakujenga taifa ni yakila mtanzania bila kujali yeye ni nani katika jamii.bila kufanya hivyo tusitegemee taifa kusonga mbele kiuchumi tutabaki na uchumi wa kwenye vikaratasi nasio kwenye maisha halisi ya mtanzania.nawasilisha.
 
naona una hamu ya kingolewa neno na kutobolewa macho...waambie wapunguze na safari za kikwete itatusaidia sana..
 
Salaam wana jamvi,imekua ni kawaida kwa serikali yetu kuongeza kodi kwsenye bia,soda sigara na mvinyo nyingine ili kuongeza pato kwenye bajeti yake kila mwaka.je hakuna vyanzo vingine vinavyoweza kuongeza pato la taifa kwenye bajeti?kwa mfano tuna dhahabu ,madini ya tanzanite nk.na ni kwanini rais,mawaziri na wabunge wasikatwe kodi kwenye miashahara yao?au kodi inatakiwa kutozwa kwa watumishi wa ngazi za chini tu?hamuoni kama kwa kufanya hivyo tunaongeza ugumu wa kupambana na umasikini.mimi naona umefika wakati sasa wa rais,mawaziri na wabunge kulipa kodi ya mapato kila mwezi maana huko ndio kujenga taifa kazi yakujenga taifa ni yakila mtanzania bila kujali yeye ni nani katika jamii.bila kufanya hivyo tusitegemee taifa kusonga mbele kiuchumi tutabaki na uchumi wa kwenye vikaratasi nasio kwenye maisha halisi ya mtanzania.nawasilisha.

Hivi kama ni kweli hawa watu hawalipi kodi ni lipi walilo nalo la kujivunia kwa taifa Lao. Kwa kweli hii cadre ina matatizo inakuwaje watu hawana hata aibu, hawajui kama kodi ndo maendeleo? Ndo maana hawana uchungu na pesa ya kodi, nina uhakika wangekuwa wanalipa kodi kungekuwa na nidhamu kubwa katika matumizi ya rasilimali za taifa.
 
Back
Top Bottom