RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,520
WanaJF, ukiona mtu kaandika utumbo kama FF muacheni kwani hiyo ndo kazi yake.
Back to the topic, Mchungaji hongera kwa kuwasilisha hotuba yako nimeisoma yote bila kuchoka. Contents zimekaa vizuri. Kuhusu FYDP ( Five years Development Plan), bado kuna tatizo hapo tena kubwa. Maandalizi yake sioni kama yanafanyika, ni nadharia za kisiasa tu.
Back to the topic, Mchungaji hongera kwa kuwasilisha hotuba yako nimeisoma yote bila kuchoka. Contents zimekaa vizuri. Kuhusu FYDP ( Five years Development Plan), bado kuna tatizo hapo tena kubwa. Maandalizi yake sioni kama yanafanyika, ni nadharia za kisiasa tu.