FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,880
- 109,187
Mh kwani huo mpango uliandaliwa lini na ukafikishwa bungeni lini anataka kusema ulifikishwa bungeni wakati ule Chadem walipotoka bungeni? hapa naanza kuona uwezo wako ulivyo! pole sana
Huu mpango iltangazwa kusudio la kuanzishwa kwake siku cdm walipo susa. Leo umewakilishwa bungeni. Upo hapo ulipo?