Katika mambo ntakayokumbuka kwa JK ni kushindwa kuzungumza kama Rais. Mara zote anaegemea upande mmoja.sijui ni ukosefu wa maarifa au udhaifu binafsi.kuhusu katiba alianzisha bila kuwa sera yake so ni vema akubaliane na wenye sera Hiyo.ni afadhali afanye mauaji ya kimbari kuliko kutotimiza hamu ya watanzania aliyoiamsha.