Hotuba ya Rais Kikwete kuuaga mwaka 2011

Hapo kwenye wawekezaji wa ndani amepapasa papasa tu..

Halafu vitu vingine kama hivyo sijui huwa vinakuwa kama siri ya baadhi ya watu?

Maana hii kitu kwangu sounds "french"

It is not french at all. Nikupe mwanga kidogo.....leo hii vyama vya ushirika vya mikoa ya mtwara na lindi, kutokana na export guarantee scheme hiyo, vimeweza kununua korosho za wakulima kwa bei nzuri ambayo haijawahi kutokea in decades....kilo mwaka jana iliuzwa hadi sh 1700 kutoka shilingi 400 ya mwaka juzi. Na kubwa zaidi malipo kwa wakulima yalifanyika on time ( sio kama zamani walikuwa wanakopwa). Hayo ni matunda ya wazi ya schemes hizo....leo hii wakulima wa korosho wanaweza kupeleka watoto wao shule, wakakarabati nyumba zao, na kununua trekta kwasababu ya faida waliyopata. By the way kwa item hiyo tu watu zaidi ya laki mbili wanaolima korosho wamebenefit
 
Si unaona unapopata shida hata kuelezea kidogo?

Ndo maana hotuba imekaa hivyo, hakuna cha kuelezea in reality.

Ulitaka hotuba itaje makampuni yaliyopewa hizo billions?? duh

Sidhani kama itakuwa hotuba labda ingekuwa "academic paper" for journal publication
 
Inawezekana wewe ni intellectual..unayeona mfano uliotolewa haufai.....lakini mwananchi wa kawaida wa Mpanda, Kishapu, Geita,Iramba, Itigi n.k atauelewa......audience ya hotuba hii ni watanzania wote milioni 40....wasomi, wasio wasomi, waliopo mjini, na vijijini pamoja na wale wanaokula bata ughaibuni......hivyo yawezekana yapo baadhi ya mambo haya appeal kwako, yana appeal kwa mwingine....balancing act aliyofanya Mhe tumpe credit tu badala ya kulaumu.

Wewe toa real analysis ni kitu gani amechemsha kuliko kutoa sweeping statments za kulaani bila hoja. Kwani ni uwongo uwekezaji hauhitaji resources? anachozungumzia pale ni manpower(labour),capital, infrastructure etc

uko sahihi kabisa mdau hapo juu wengi wetu watanzania hasa tulio nje tumekuwa watu wa kulaumu na kubeza juhudi kubwa zinazofanywa na serikali, huwezi pata picha halisi ya mambo kwa kusoma vyombo vya habari vyenye muelekeo wa kupinga pinga tu pamoja na wanasiasa wenye kiu ya urais, inshort mimi binafsi nimetembelea maeneo mengi kwa kweli serikali imejitahidi katika miundo mbinu na ustawi wa kuhakikisha tunakuwa na mifumo ya uchumi, otherwise kama una ajenda binafsi tumeshuhudia hizo serikali mnazoziita strong na zenye maamuzi, zilikuwa za wababe na wasiojali utu, najua baada ya 2015 ndio mtamuelewa mheshimiwa JK, mheshimiwa rais chapa kazi tupo nyuma yako
 
Inawezekana wewe ni intellectual..unayeona mfano uliotolewa haufai.....lakini mwananchi wa kawaida wa Mpanda, Kishapu, Geita,Iramba, Itigi n.k atauelewa......audience ya hotuba hii ni watanzania wote milioni 40....wasomi, wasio wasomi, waliopo mjini, na vijijini pamoja na wale wanaokula bata ughaibuni......hivyo yawezekana yapo baadhi ya mambo haya appeal kwako, yana appeal kwa mwingine....balancing act aliyofanya Mhe tumpe credit tu badala ya kulaumu.

Wewe toa real analysis ni kitu gani amechemsha kuliko kutoa sweeping statments za kulaani bila hoja. Kwani ni uwongo uwekezaji hauhitaji resources? anachozungumzia pale ni manpower(labour),capital, infrastructure etc

Mkuu nakubaliana nawe kuwa kila mtu ataielewa kivyake na kuitafakari kivyake na kuchuja yepi yanakita kichwani mwake, ila nikufahamishe kitu kimoja, VIJIJINI UKITOA WALIMU NA MAAFISA KILIMO NA MIFUGO HAKUNA WALIO NA INTEREST YA HOTUBA BALI ZIARA ZA VIONGOZI, kumbe hata huko ulikotaja ni watu wa kada fulani tu ambao watasikiliza wengi hata kuelewa umuhimu wa hotuba haupo kama msamiati kwao, tuna kazi kubwa katika kufikia media literacy Mkuu hasa vijijini pia matatizo waliyokuwa nayo hata muda wa kusikiliza hotuba tena kwenye Radio haupo.
 
It is not french at all. Nikupe mwanga kidogo.....leo hii vyama vya ushirika vya mikoa ya mtwara na lindi, kutokana na export guarantee scheme hiyo, vimeweza kununua korosho za wakulima kwa bei nzuri ambayo haijawahi kutokea in decades....kilo mwaka jana iliuzwa hadi sh 1700 kutoka shilingi 400 ya mwaka juzi. Na kubwa zaidi malipo kwa wakulima yalifanyika on time ( sio kama zamani walikuwa wanakopwa). Hayo ni matunda ya wazi ya schemes hizo....leo hii wakulima wa korosho wanaweza kupeleka watoto wao shule, wakakarabati nyumba zao, na kununua trekta kwasababu ya faida waliyopata. By the way kwa item hiyo tu watu zaidi ya laki mbili wanaolima korosho wamebenefit
Sasa alishindwa vipi kuweka hayo kwenye hotuba?

Inawezekana unapishana na alichozungumza mh Rais? Ama alichanganya desa? Kwasababu sometimes ni kama hujui ujumbe ni kwa mwekezaji wa ndani ama nje.

Wananchi wanataka kujuwa ni kivipi hayo yamewasaidia kama ulivyoiweka hapo juu.
 
uko sahihi kabisa mdau hapo juu wengi wetu watanzania hasa tulio nje tumekuwa watu wa kulaumu na kubeza juhudi kubwa zinazofanywa na serikali, huwezi pata picha halisi ya mambo kwa kusoma vyombo vya habari vyenye muelekeo wa kupinga pinga tu pamoja na wanasiasa wenye kiu ya urais, inshort mimi binafsi nimetembelea maeneo mengi kwa kweli serikali imejitahidi katika miundo mbinu na ustawi wa kuhakikisha tunakuwa na mifumo ya uchumi, otherwise kama una ajenda binafsi tumeshuhudia hizo serikali mnazoziita strong na zenye maamuzi, zilikuwa za wababe na wasiojali utu, najua baada ya 2015 ndio mtamuelewa mheshimiwa JK, mheshimiwa rais chapa kazi tupo nyuma yako
Nyie mko nyuma yake ama mmemzunguka?lol
 
Ulitaka hotuba itaje makampuni yaliyopewa hizo billions?? duh

Sidhani kama itakuwa hotuba labda ingekuwa "academic paper" for journal publication
Angeweza kutumia chache kwa mfano, ama mbili tatu ambazo zimeperform well na wanaweza ku quantify na ikaeleweka kwenye mfano,badala ya ule wa kufyeka.

Nyie sijui mnaongozwaje?
 
Sasa alishindwa vipi kuweka hayo kwenye hotuba?

Inawezekana unapishana na alichozungumza mh Rais? Ama alichanganya desa? Kwasababu sometimes ni kama hujui ujumbe ni kwa mwekezaji wa ndani ama nje.

Wananchi wanataka kujuwa ni kivipi hayo yamewasaidia kama ulivyoiweka hapo juu.

Details unaweza kupata kutoka kwenye authority zinazohusika..kama wafanyavyo watafiti

Hotuba siyo academic paper
 
Rais anaandaliwa hotuba lakini inaonyesha ana shida moja ya kutokujuwa reality on the ground vs anachowaambia wananchi, no wonder wameshamwingiza mkenge mara nyingi hata kwenye funguzi za ajabu anazokuja kutolewa nishai kama kule R. Issue kama hizo huwa zinafutwa na yeye kutaka kufahamu ukweli wa whats going on kabla ya kuja mbele za wananchi...

Kwanini asiulize apewe mifano hai atakayoweza kuiwakilisha kwa wananchi ili watambue kuwa ni kweli hizo pesa zimefanikisha malengo nk?

Wenzetu huwa wanafanya hivyo.

Unakuja na hotuba kama vile unazungumza kutoka mbinguni ama sayari nyingine?
 
Rais anaandaliwa hotuba lakini inaonyesha ana shida moja ya kutokujuwa reality on the round vs anachowaambia wananchi, no wonder wameshamwingiza mkenge mara nyingi hata kwenye funguzi za ajabu anazokuja kutolewa nishai kama kule R.

Kwanini asiulize apewe mifano hai atakayoweza kuiwakilisha kwa wananchi ili watambue kuwa ni kweli hizo pesa zimefanikisha malengo nk?

Wenzetu huwa wanafanya hivyo.

Unakuja na hotuba kama vile unazungumza kutoka mbinguni ama sayari nyingine?

Kwa mfano reality ipi?

Unaweza kutupa mrejesho kuonyesha kwamba hizo schemes hazjafanya kazi inayotakiwa??
 
Sasa alishindwa vipi kuweka hayo kwenye hotuba?

Inawezekana unapishana na alichozungumza mh Rais? Ama alichanganya desa? Kwasababu sometimes ni kama hujui ujumbe ni kwa mwekezaji wa ndani ama nje.

Wananchi wanataka kujuwa ni kivipi hayo yamewasaidia kama ulivyoiweka hapo juu.

Am glad schemes hizo sasa they are no longer french to you. Sasa piga hatua moja zaidi kwa ku take trouble na kwenda Central Bank kupata ufafanuzi zaidi wa namna ya kunufaika na schemes hizo ili uweze kutuelimisha wananchi wengi zaidi humu ndani ya forum na wengine wengi mijini na vijijini.

Mimi namfahamu mtu anaye export dengu India.....pengine scheme ya aina hii itamsaidia kuongeza capacity yake ku export. I will find out as well kuhusu scheme hiyo ili nimsaidie jamaa yangu, Hayo ndio mambo ya msingi ya kufanya....by doing that we will be making a difference to our nation....badala ya kukaa kupiga critique bila kila jambo jema na lisilojema pasipo kuchukua hatua......as not what your country can do for you,rather ask what you can do for your country
 
Kwa mfano reality ipi?

Unaweza kutupa mrejesho kuonyesha kwamba hizo schemes hazjafanya kazi inayotakiwa??

Mkuu Mh Rais si alishawahi kwenda huko Arusha na kufungua hoteli ambayo nasikia ikaja kuvunjwa muda si mrefu?
Sikumbuki kila kitu lakini najuwa keshaingizwa mkenge mara nyingi tu na kutoka nishai mbele za wananchi.
 
Tulitaka tumsikie akitupa mikakati atakayotumia kuhakikisha kuwa rasilimali zetu zitatumika kwa ufanisi zaidi ya mwaka uliopita kutuondolea matatizo yanayotukabili.
Ungeusoma mkataba wa Ngaka na mchuchuma.
Halafu soma mkataba wa bomba la Gesi..... sio unategemea hotuba tu, thats just an overview.
Halafu fananisha na mikataba yote iliyoingiwa chini ya Mkapa.
 
Am glad schemes hizo sasa they are no longer french to you. Sasa piga hatua moja zaidi kwa ku take trouble na kwenda Central Bank kupata ufafanuzi zaidi wa namna ya kunufaika na schemes hizo ili uweze kutuelimisha wananchi wengi zaidi humu ndani ya forum na wengine wengi mijini na vijijini.

Mimi namfahamu mtu anaye export dengu India.....pengine scheme ya aina hii itamsaidia kuongeza capacity yake ku export. I will find out as well kuhusu scheme hiyo ili nimsaidie jamaa yangu, Hayo ndio mambo ya msingi ya kufanya....by doing that we will be making a difference to our nation....badala ya kukaa kupiga critique bila kila jambo jema na lisilojema pasipo kuchukua hatua......as not what your country can do for you,rather ask what you can do for your country
Niliiweka "french" kwenye quotation lol

Nitafind out kuhusu hiyo issue, kwani si haya haya ya EPZ, na nyinginezo nyingi tu nimeshasahau.

Bottomline kwenye issue hiyo tunakwamishwa na umeme na hivyo usitake kujidai wewe ni positive na watu waliambiwa kuwa rais si Mungu ambaye ataweza kuleta wingu mvua inyeshe!

What about ku preserve mazingira?

Kwa umeme tulio nao, hakuna technolojia yeyote tutakayoweza kuiendeleza bila energy, hata hayo ya investment, ndo maana hotuba imejaa porojo miingi.
 
Mkuu Mh Rais si alishawahi kwenda huko Arusha na kufunua hoteli ambayo nasikia ikaja kuvunjwa muda si mrefu?
Sikumbuki kila kitu lakini najuwa keshaingizwa mkenge mara nyingi tu na kutoka nishai mbele za wananchi.

Acha hizo streotype you above that..

Hotel bado iko pale inafanya kazi; kuna sehemu ndogo ya car pack ilikuwa imezidi kwenda barabara ilibomolewa na tanroads

Waandishi wanauza magazeti kwa titles kama hizo; ndio maana rais akitaka kuwa mkali kwa vitu vya kipuuzi kama hivyo atawashindisha njaa watu wengi kama wauza magazeti na JK analijua sana hilo ndio maana anajua pia kuna watu wanakula kwa critics za kijinga juu yake..

Ndio maana nilikwambia kama wewe mtafiti fanya hizo details za projects za serikali uone kwa data wewe mwenyewe siyo blah blah and haters views
 
Acha hizo streotype you above that..

Hotel bado iko pale inafanya kazi; kuna sehemu ndogo ya car pack ilikuwa imezidi kwenda barabara ilibomolewa na tanroads

Waandishi wanauza magazeti kwa titles kama hizo; ndio maana rais akitaka kuwa mkali kwa vitu vya kipuuzi kama hivyo atawashindisha njaa watu wengi kama wauza magazeti na JK analijua sana hilo ndio maana anajua pia kuna watu wanakula kwa critics za kijinga juu yake..

Ndio maana nilikwambia kama wewe mtafiti fanya hizo details za projects za serikali uone kwa data wewe mwenyewe siyo blah blah and haters views
Ungesema tu mengi aliyoyasema kuhusu wawekezaji wa ndani yanahusiana na mwaka 2011 na maybe bado time hasnt matured yet to say anything bout the project initiatiatives.

Hata huyo Salaama nimekubaliana naye jinsi alivyoiweka hiyo sehemu ya maelezo ya jinsi mkulima wa korosho alivyonufaika na maisha yake kubadilishwa, ambayo nilidhani ilistahili kuwepo kwenye hotuba ya mh Rais.

Lakini hii hanina maana nakubalina kuwa hayo ya mkulima wa korosho yako reflected kwenye hotuba ya mh Rais kuhusiana na wawekezaji wa ndani.
 
Ungesema tu mengi aliyoyasema kuhusu wawekezaji wa ndani yanahusiana na mwaka 2011 na maybe bado time hasnt matured yet to say anything bout the project initiatiatives.

Hata huyo Salaama nimekubaliana naye jinsi alivyoiweka hiyo sehemu ya maelezo ya jinsi mkulima wa korosho alivyonufaika na maisha yake kubadilishwa, ambayo nilidhani ilistahili kuwepo kwenye hotuba ya mh Rais.

Lakini hii hanina maana nakubalina kuwa hayo ya mkulima wa korosho yako reflected kwenye hotuba ya mh Rais kuhusiana na wawekezaji wa ndani.


Heri ya mwaka mpya; tutaonana mwakani InshAllah

Hotuba nzuri sana; imeeleza mambo ya msingi japo siyo yote..
 
Nimebahatika kumsikiliza m.kwe.re live tbc na nimeshangaa sana.
Wananchi tunalalamikia wafanya biashara wa mafuta, walimu wanalalamikia mapunjo na kutolipwa watu tunalalamikia wawekezaji kutokuwa na faida yooyote tunayopata toka kwao, wananchi tunalalamikia mfumuko wa bei na rais naye analalamikia hayo hayo, tukimbilie wapi? nani atusaidie? huyu jamaa nchi imemshinda. Uongo wake umepitiliza kiwango.
Nimesoma arguments zote za tropical na nimebaki nimeduwaa. Hivi si unahitaji kuwa na akili za uji ili umtetee kikwete na serikali yake??? kama basi viongozi tulionao ndio aina ya topical then sishangai kwamba kwa nini nchi yetu iko wodini maututi.
 
21OBJECTIVES

The Scheme seeks to promote economic development in general by encouraging high value exports such as horticulture and floriculture and value added exports that will generate high level of employment and foreign exchange earnings.

To achieve the above mission, the Scheme fulfills the following broad objectives

2.1 Economic growth- Annual export growth of 25% to be in commensurate with GDP growth rate of 8-10% needed to reduce poverty by 50% by year 2015 as provided in the Vision 2025.

2.2 Export Diversification- This would be done by improving product mix by increasing the share of high value exports, horticulture and floriculture products, level of transformation by increasing the share of manufactured products and reduce market concentration by seeking alternative markets

2.3 Employment Creation- This would be done through providing labour intensive employment and productivity.

2.4 Financial Deepening- This would be achieved by increasing the share of financial assets to GDP, that ensures broad export financing and credit facilities e.g structured finance/loan syndication, risk diversification/sharing, this would result into rapid increase in exports.

2.5 Innovative management of domestic liquidity The accumulated deposits of the banking sector could be used to support or facilitate export projects that would promote growth thereby increase the country's absorptive capacity, and expand the country's internal economy.

2.6 Promoting Corporate Integrity- Awareness and training that would induce both financial planning, tax compliance and good corporate governance standards.
Hizo hapo ni objectives za hiyo scheme, alishindwa vipi kuziweka na kueleza how it will support the economy?

Pia si niliuliza kuhusu projections kuhusiana na exports ambazo ziko kwenye objectives?

Ama hata msaidizi wake wa kuandika hotuna huwa hafanyi hizi research ili kuandika hotuba itakayo connect na wananchi?
 
Back
Top Bottom