Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,161
- 26,668
amemaliza
Mpira teeeeeena?
Kwa hotuba hii jk umepoteza muda hakuna cha maana umeongea..unalalamika lalamika tu
Wewe ni mchumia tumbo...njaa itakuuwaHatuko tayari kuharakisha maswala ya shirikisho,ardhi,ajira na uhamiaji kwahaya tuheshimiane na twende taratibu sana si kama wanavyotaka.
Kwa hotuba hii jk umepoteza muda hakuna cha maana umeongea..unalalamika lalamika tu
Kwa aliyemwelewa huyu jamaa naomba anieleweshe alikuwa anazungumzia nini?