mamaWILLE
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 151
- 39
Mida ya saa 6 mchana leo magufuri alifika igunga. Ulikuwa msafara wa magari 29 yakiserikari na wakandarasi. Mkutano ulikuwa wa serikari maana bendera ya taifa ilikuwapo ktk kiwanja hiki cha sokoine. Nasema hivyo kwani neno ccm oyeee! ndio lilikuwa likitamkwa mara nyingi sana.sasa zamu ya Magufuri ikawadia nae akaanza hivi.
Magufuri: Ndugu zangu wanaigunga ninawashukru kwa mapokezi na washukuru na kuwapongeza kwa
uchaguzi umekwisha na sasa kutekeleza kazi kwa wanaigunga
Maendeleo hayana chama. Likitengenezwa daraja la mbutu, watu wote watapita. chadema, ccm cuf, udp watapita ktk daraja hilo hata fisi nao watapita ucku. Leo nimepita nikitokea tabora nilikuwa nina kikao na makandarasi wa tabora. Tabora kwa sasa kuna makandarasi 6 wanaojenga barabara za tabora.
Wakati nilipokuja mkumnadi Dr kafumu niliwaahidi kuwa nitajenga daraja la mbutu, manonga, na barabara ya igurubi. Fedha kwa ajili la daraja la mbutu zipo ila ujenzi wake utatumia muda
Tulitangaza tenda ajili ya daraja hili, 24/8/2011katika magazeti yote ya kiswahi na 25/8/2011katika magazeti ya kiingereza ilikusudi na wakandarari wa nje waje ili tupate mkandarasi mzuri. mpaka sasa tumepata makandarasi 11.
Nawaomba ndugu zangu tuache itikadi zetu za uchadema na ucc kwani kampeni zimekwisha sasa ni utelekezaji ilani ya ccm.
Nawaomba ndugu zangu pindi ujenzi ukianza msiwaibie wakandarasi mafuta, na vifaa vya ujenzi kwani daraja ni letu watanzania
Nawaomba wanaigunga mshilikiane na mbuge wenu dr kafumu atakaye apishwa. Na diwani wa chadema naomba ushilikiane na mbunge wa ccm. Mwelezenu shida zenu dr kafumu.
Ninawaomba mliokuwa mnagombea ubunge kazi sio ubunge tu. Wengine mnatakiwa muende mkasimamie ujenzi wa daraja ili mpate ajira.
Leo hii nimekuja na wakandarasi wote ili nikawakabidhi site. Na kwa yeyote anayebisha basi baada ya mkutano twende nae akaone huko huko. Asante sana
Magufuri: Ndugu zangu wanaigunga ninawashukru kwa mapokezi na washukuru na kuwapongeza kwa
uchaguzi umekwisha na sasa kutekeleza kazi kwa wanaigunga
Maendeleo hayana chama. Likitengenezwa daraja la mbutu, watu wote watapita. chadema, ccm cuf, udp watapita ktk daraja hilo hata fisi nao watapita ucku. Leo nimepita nikitokea tabora nilikuwa nina kikao na makandarasi wa tabora. Tabora kwa sasa kuna makandarasi 6 wanaojenga barabara za tabora.
Wakati nilipokuja mkumnadi Dr kafumu niliwaahidi kuwa nitajenga daraja la mbutu, manonga, na barabara ya igurubi. Fedha kwa ajili la daraja la mbutu zipo ila ujenzi wake utatumia muda
Tulitangaza tenda ajili ya daraja hili, 24/8/2011katika magazeti yote ya kiswahi na 25/8/2011katika magazeti ya kiingereza ilikusudi na wakandarari wa nje waje ili tupate mkandarasi mzuri. mpaka sasa tumepata makandarasi 11.
Nawaomba ndugu zangu tuache itikadi zetu za uchadema na ucc kwani kampeni zimekwisha sasa ni utelekezaji ilani ya ccm.
Nawaomba ndugu zangu pindi ujenzi ukianza msiwaibie wakandarasi mafuta, na vifaa vya ujenzi kwani daraja ni letu watanzania
Nawaomba wanaigunga mshilikiane na mbuge wenu dr kafumu atakaye apishwa. Na diwani wa chadema naomba ushilikiane na mbunge wa ccm. Mwelezenu shida zenu dr kafumu.
Ninawaomba mliokuwa mnagombea ubunge kazi sio ubunge tu. Wengine mnatakiwa muende mkasimamie ujenzi wa daraja ili mpate ajira.
Leo hii nimekuja na wakandarasi wote ili nikawakabidhi site. Na kwa yeyote anayebisha basi baada ya mkutano twende nae akaone huko huko. Asante sana