Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Sijui kama hii ipo hapa.
Ile Hoteli ya kitalii ya Snow Crest iliyozinduliwa Ijumaa iliyopita mjini Arusha na JK, imevunjwa leo alfajiri na maofisa wa Tanroads kwa maelezo kuwa sehemu ya majengo yake yalikuwa katika hifadhi ya barabara. Vitu vilivyovunjwa ni pamoja na geti kuu la kuingilia hotelini, sehemu ya fensi na kibanda cha walinzi.
Ile Hoteli ya kitalii ya Snow Crest iliyozinduliwa Ijumaa iliyopita mjini Arusha na JK, imevunjwa leo alfajiri na maofisa wa Tanroads kwa maelezo kuwa sehemu ya majengo yake yalikuwa katika hifadhi ya barabara. Vitu vilivyovunjwa ni pamoja na geti kuu la kuingilia hotelini, sehemu ya fensi na kibanda cha walinzi.