babagodi
Senior Member
- Sep 16, 2014
- 147
- 38
Hahahahaha!!! Atleast nyie ni mwanaume mmoja ndo anafanya hayo, duh kuliko sisi kila mahali wanawake ndo wanajirahisisha kwa Eddy.
Hahahahaha hata hivyo czani ki uhalisi kama kuna mwanamke mwenye akili timamu akawa so simple ki hivyo kama kina rahma.mama fatty, madam zena na Recho, madam Mary na rukia, nk.hao ni wanawake walio katika ulimwengu Wa kufikirika tu!