Hossam Hassan awa kocha mpya wa Misri

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,778
218,404
Screenshot_2024-02-06-22-47-38-1.png


Chama cha soka cha Misri kimemteua mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya nchi hiyo kuwa kocha mpya wa timu hiyo

Hii ni katika kujipanga upya baada ya kuboronga kwenye michuano ya Afcon
 
Semi final AFCON 2023

1)South Africa. Sio mzawa

2)Nigeria. Sio mzawa

3)Ivory coast. Mzawa

4)DR Congo. Sio mzawa


Hii takwimu Watu wanayo ila wametulia tulii. Wanasubiri msimu fulani wazawa wakijaa semi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom