Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
Chama cha soka cha Misri kimemteua mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya nchi hiyo kuwa kocha mpya wa timu hiyo
Hii ni katika kujipanga upya baada ya kuboronga kwenye michuano ya Afcon
Sasa hivi timu nyingi za taifa Africa zinarudi kufundishwa na Wazawa. Ni jambo zuri.Hakuna mtu aliyecheza nafasi ya ushambuliaji akawa kocha bora kifupi tu Misri wamepigwa
Sir ferguson, Johan cruyff,Hakuna mtu aliyecheza nafasi ya ushambuliaji akawa kocha bora kifupi tu Misri wamepigwa
😆😆😆😆Hakuna mtu aliyecheza nafasi ya ushambuliaji akawa kocha bora kifupi tu Misri wamepigwa