Hospitali za Serikali kuna uzembe wa hali ya juu

Kati ya majipu ambayo Jiwe hayawezi Ni hizi hospital, mahakama, Tanesco.....Hawa watu Ni shiida. Usalàma waTaifa huku hawawezi kuona, maana wako busy na upinzani. Nyau wakubwa hao
 
Candiderm cream Ni dawa ya fungus kwenye ngozi.
Derm Ni ngozi kitaaluma.
Mkuu hukuliona hil0?
Kama hii habari sii ya kijiweni tutajie mkoa, wilaya na kata ilipo hii siptali mengine tuachie.
hivi unafikiri kila mtu anajua derm ni ngozi?

hamna haja ya kumshambulia mleta mada mi nadhan aweke prescription iliyoandikwa na docta tuione kama alimaanisha clotrimazole cream au ni ear drops

kunakuwaga na mkanganyiko hasa kwa wafamasia

kuna mtu alipewaga pres ya chlopromazine akapewa promethazine nikakuta anatumia nikamstopisha
 
Take it from me. Hosp za serikali zina qualified personnel. Wote wamepitia vyuo vinavyotambuliwa. Private ziko nzuri lakini zinahesabika Kama vile Aga Khan, Regency, Hindu Mandal, Rabininsia otherwise hizi zilizo vichochoroni Kama Yemen medical centre, Mgeta herbalist clinic, Sembe Tabata etc. Utakua unaweka uhai wako rehani.Private za mtaani zinaajiri half cooked kanjanjas from questionable colleges. Kila ukipima malaria na typhoid unakutwa nayo.
 
Tumekuelewa pole Mkuu,
lkn,Mleta mada pia jitahidi kuwa MSAFI haya mambo ya FUNGUS yanaendana na hali ya UCHAFU. Hapo hukosi chawa na Kunguni kwa hali hiyo.
Usinikumbushe jamaa mmoja aliyekua na uadui na maji chuoni alipata fungus za pale miguu inapokutana, eeh hapo kwenye ghala la kizazi kijacho. Enzi zile wanaume wanavaa chupi sio boxer. Ile ngozi ya pale mahala ikaliwa yote. Sasa ongezea joto la Dar chuoni.
Eti sikuhizi nae anavaa tai.
 
MUHIMU! MUHIMU! NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA COMMENT HII IFIKIKE MBALI KWA VITENGO HUSIKA.
Mm niliwahi kuumwa kifua sana nikaenda mwananyamala hospital nikapiga x-ray doctor akaniambia mapafu yapo vzr siumwi chochote ila mm ndan mwangu najiona sipo sawa sijakubali matokeo nikachukua x-tray yangu nikaenda private hospital (kwa mvungi kinondoni) nikamwelezea doctor pale senario yote ya kilichotokea na nikampa ile x-ray yule doctor kuinyanyua tuu na kuisoma ile x-rays akaniambia una TB can you imaging,..akaniuliza ni doctor gan proffesional alieisoma hii x-ray akasema haioni TB na akanionyesha akaniambia unaona utofauti wa haya mapafu kwenye kivuli bila elimu ata huu utofauti unaonekana pafu moja limelika hii ndio TB yenyewe.

Akanianzishia dozi mda ule ule na taratibu za TB ni lazma upime makohozi kweny hopital ya serikali kwa confirmation na follow ups, nimeanza dozi leo kesho nimepeleka makohozi mwananyamala after 3days result za mwananyamala zinasema sina TB huku nishaanza dozi kwa mvungi. Zilipita wiki mbili mwananyamala wakanipigia simu wakaniambia majibu niliopewa yalikosewa nirudi haraka nina TB wakati nishaanza dozi 2weeks. Hii ndio ilikuwa mara ya mwisho kuziamini hospital za umma sababu walitaka kuniua. Serikali iwe makini serikali za umma zinaua wananchi sanaa.
 
Pole sana, sitaki kuamini kama daktari bingwa ndo amekupa hiyo dawa kwa ajili ya sikio,bado nakataaa
 
Sio
Tumekuelewa pole Mkuu,
lkn,Mleta mada pia jitahidi kuwa MSAFI haya mambo ya FUNGUS yanaendana na hali ya UCHAFU. Hapo hukosi chawa na Kunguni kwa hali hiyo.
Sio Lazima uwe mchafu,unaweza kupata yeast infection ambayo nayo ni aina ya fungus na haisababishwi na uchafu hata...
 
Wachangiaji msimlaumu mtoa mada. Huyu ni lay man hajasoma medicine maybe ana elimu ya kusoma kuandika na kuhesabu. Sio kila mtu anajua "derm" ni ngozi. Wakulaumiwa ni daktari na mfamasia. He did what a good patient does, he listened and did what he was told.
 
Tumekuelewa pole Mkuu,
lkn,Mleta mada pia jitahidi kuwa MSAFI haya mambo ya FUNGUS yanaendana na hali ya UCHAFU. Hapo hukosi chawa na Kunguni kwa hali hiyo.
Hata wewe una fungus na bacteria tofauti tu ni ecological balance btn the two haijawa disturbed. Usimuite mwenzio mchafu.
 
Hata wewe una fungus na bacteria tofauti tu ni ecological balance btn the two haijawa disturbed. Usimuite mwenzio mchafu.
Mkuu Kama nakuona kwenye mapaja ulivyojaa ukurutu wa Fungus kwa kisingizio ulichotoa. Zingatia USAFI hayo maelezo yako ni porojooo. Zingatia Usafi narudia , fungus ni Uchafuuuu naongeza Sauti.
 
Mkuu Kama nakuona kwenye mapaja ulivyojaa ukurutu wa Fungus kwa kisingizio ulichotoa. Zingatia USAFI hayo maelezo yako ni porojooo. Zingatia Usafi narudia , fungus ni Uchafuuuu naongeza Sauti.
Mapaja yangu umeyaona wapi au kashfa tu?
 
Hospital nyingi za serikali ni hovyo sana benjamin mkapa wamepeleka vipimo vya mama yangu week hii muhimbl vnavyoonesha inabid apasuliwe kichwa badala ya mguu..Mind u nikiwa UDOM nasoma niliwahi kujibzana vibaya na mhudumu wa maabara..lkn nlimkuta akiwa hospital ya agha khan akiwa mstaarabu balaa. Watumish weng wa hospital za gvt n kama huwa wanafosiwa kufanya kaz haya mambo n nadra sana hospital za private.

Ukiumwa jitahd uende private hospital unless other wise.
Ondoa neno "Hovyo" na uombe radhi.
 
Ndiyo maana aliniagiza na alitaka nimepelekee na yeye ndiye aliyemwekea
Na wewe naona hujui. Hata kama alikuwekea kwenye sikio bado hakukiuka maagizo ya ''for external use only''. Fungus wanaweza kuwa kwenye ngozi iliyo ndani ya sikio ambako kunahesabiwa kuwa ni external.

Pengine sikio limeziba kwa sababu nyingine tu au dr mwenyewe hakuweza kugundua chanzo hasa cha sikio lako kusumbua. Nakushauri uwende hospital kubwa umwone bingwa wa maradhi ya sikio aweze kukufanyia diagnosis ya uhakika. Ukienda hizi hospitali za mitaani hata kama ni kulipia wanaweza kukufanya kiziwi kabisa.
 
Ushauri wangu kwako na wengine wote ni kua ukipewa dawa yoyote Hospitalini, kama una nafasi jaribu kugoogle upate picha kama hiyo dawa inaendana na tatizo lako
 
Anyway, dawa nzuri ya fungus wa sikio inaitwa CANDIBIOTIC EAR DROPS. Nadhani daktari aliandika hiyo kisha mtoa dawa akajichanganya. Na hayo of course ni mambo ya kawaida tu kutokea mahospitalini, iwe private au serikalini.
Bullshit...cream kama hiyo inaingiaje kwenye inner ear hata kama ni middle ear, kwa nini asimpe ear-drops, makanjanja kama nyie ndo mnatupotezea muda kusoma upupu mnaoandika humu kila siku.
 
Mimi nilikuwa na vichomi upande wa kulia kwa chini tumboni,nikahisi appendix,,Dr alinipasua kunitoa appendix bila hata kunipima ultrasound..ili tu apate hela..
Inawezekana ndugu bila hata ultrasound ukagundulika na acute appendicitis
 
Back
Top Bottom