Nakumbuka mbunge wa kigoma Kwenye last session ya Bunge alichangia Hoja kwa kusema Hospital zetu zina hali ya chini kwa huduma kiasi kwamba Viongozi Hawakubali kutibiwa, akapingwa na baadhi ya wabunge, lakin hali hii inajionyesha sasa namba ya wabunge wanaokwenda na walioko india hadi leo hii.