Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Watanzania Hebu tuungane wote kuzipongeza kamati teule za bunge. Kila mmoja atakubaliana na mimi kuwa kweli wanatufanyia kazi nzuri ambazo sielewi bila hizi kamati tungekuwa wapi leo.
Hongereni kwa kazi nzuri
Nimefuatilia kamati teule mbili zilizowasilisha taarifa zake bungeni jana na leo (ya nishati na ile ya Sakata la Jairo). Nimemsikia Makamu wa kamati teule Martha Umbulla na akitoa tu vijimambo walivyokutana navyo katika uchunguzi wa kamati teule wa kutisha mambo anasema gari linajazwa mafuta lita zaidi ya 200 kuzunguka Dodoma kwa siku. Wachangiaji wengine waliongea kwa uchungu kuhusu ufujaji wa ajabu uliojitokeza katika huu uchunguzi mdogo tena haukufanywa na wakaguzi waliobobea (CAG &Co)
Nafika mahali najiuliza hivi kweli nani katudanganya kuwa sisi Tanzania ni maskini?
Hivi Mh rais wetu anaweza kuyaeleza haya kwa wazee wa CCM wa Dar na akahalalisha tusivyo na pesa za madawati na dawa za hospitali?
Hivi kwa nini nchi wahisani wanafumbia macho haya na kuendelea kungangania kutusadia?
Wanaona wazi kuwa hatuna tatizo la pesa ila tunahitaji za kutanua?
Au nao wahisani wana agenda ya siri na Tanzania?
:director:
Hongereni kwa kazi nzuri
Nimefuatilia kamati teule mbili zilizowasilisha taarifa zake bungeni jana na leo (ya nishati na ile ya Sakata la Jairo). Nimemsikia Makamu wa kamati teule Martha Umbulla na akitoa tu vijimambo walivyokutana navyo katika uchunguzi wa kamati teule wa kutisha mambo anasema gari linajazwa mafuta lita zaidi ya 200 kuzunguka Dodoma kwa siku. Wachangiaji wengine waliongea kwa uchungu kuhusu ufujaji wa ajabu uliojitokeza katika huu uchunguzi mdogo tena haukufanywa na wakaguzi waliobobea (CAG &Co)
Nafika mahali najiuliza hivi kweli nani katudanganya kuwa sisi Tanzania ni maskini?
Hivi Mh rais wetu anaweza kuyaeleza haya kwa wazee wa CCM wa Dar na akahalalisha tusivyo na pesa za madawati na dawa za hospitali?
Hivi kwa nini nchi wahisani wanafumbia macho haya na kuendelea kungangania kutusadia?
Wanaona wazi kuwa hatuna tatizo la pesa ila tunahitaji za kutanua?
Au nao wahisani wana agenda ya siri na Tanzania?
:director: