mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Nimesikia kwenye taarifa ya habari kwenye radio kuwa jina la mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia rushwa ya zanzibar litapitishwa na baraza la wawakilishi baada ya uteuzi wa rais.
Natumaini hata huku bara wangefanya hivyo ingepunguza kiburi cha mkurugenzi wa takukuru (Edgar Hoover) ambaye aliwatunishia msuli wabunge baada ya kuonekana wanataka kumjadili akawaibulia suala la posho mbili wabunge wote wakanywea. je kwa sasa huyu Edgar Hoover si yuko juu ya bunge na mamlaka nyingine zote.
hebu tuige mfano wa zanzibar ambao wameona udhaifu huo na kuogopa kuja kuleta Edgar Hoover kwao
Natumaini hata huku bara wangefanya hivyo ingepunguza kiburi cha mkurugenzi wa takukuru (Edgar Hoover) ambaye aliwatunishia msuli wabunge baada ya kuonekana wanataka kumjadili akawaibulia suala la posho mbili wabunge wote wakanywea. je kwa sasa huyu Edgar Hoover si yuko juu ya bunge na mamlaka nyingine zote.
hebu tuige mfano wa zanzibar ambao wameona udhaifu huo na kuogopa kuja kuleta Edgar Hoover kwao