Msarendo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 10,477
- 6,428
Nasikia Kibonde kenda Kenya kuanza masomo, na kwa hasira ameamua aanzie shule ya VIDUDU
Ha Ha!
Nasikia Kibonde kenda Kenya kuanza masomo, na kwa hasira ameamua aanzie shule ya VIDUDU
alikuwa anasoma saa ngapi maana kila siku nilikuwa nakutana naye mtekenyo bar.
khaaaaa matekenyo ipo mtaa gani hapa
daslam loool?itakuwa mpya
Alikuwa anasoma saa ngapi maana kila siku nilikuwa nakutana naye Mtekenyo Bar.
kwani ameitwa kibonde maana ya kibonde wa elimu ? Au kimaisha? Tuangalie na majina ya kuwapa watoto wetu wasiji kuwa vilaza/vibonde
Alikuwa anasoma saa ngapi maana kila siku nilikuwa nakutana naye Mtekenyo Bar.