Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Leo nimeangalia taarifa ya habari ya chanel 10 na ya ITV lakini vituo hivyo vyote viwili vimetoa habari ya upande mmoja kwa kumuonyesha katibu wa UVCCM akilaani mauaji yaliyotokea bila kuonyesha upande wa pili.
Lakini kituo cha Star tv pekee ndo kimebalance habari kwa kumuonyesha Mwita Mwikabe wa CHADEMA akimtuhumu Mwigulu Nchemba kutuma watu kuja kufanya fujo na pia mwandishi wa star tv alimpigia Mwigulu kuhusu tuhuma zinazomkabili na akazikanusha.
Tunaomba vituo vingine vya runinga kuiga mfano wa star tv kwa kutoa habari zilizokamilika na kuwa na pande mbili sio kutupatia habari zilizo za upande mmoja.Fuateni maadili ya uandishi wa habari sio mnakuwa kama TBCCCM.
Lakini kituo cha Star tv pekee ndo kimebalance habari kwa kumuonyesha Mwita Mwikabe wa CHADEMA akimtuhumu Mwigulu Nchemba kutuma watu kuja kufanya fujo na pia mwandishi wa star tv alimpigia Mwigulu kuhusu tuhuma zinazomkabili na akazikanusha.
Tunaomba vituo vingine vya runinga kuiga mfano wa star tv kwa kutoa habari zilizokamilika na kuwa na pande mbili sio kutupatia habari zilizo za upande mmoja.Fuateni maadili ya uandishi wa habari sio mnakuwa kama TBCCCM.