Kama ndo hivo na walaaaniwe wote mnaowakata masikini waalimu wa nchi hii!
Nyooooooooooopp
mpumbav mwenyew, mkikosa hoja mnazushia wlm. mie mwl sijawah katwa mbona?sijaona serikali ya kipumbavu kama hii...
hao ni walm wa mateja wa chadema na ukawa. lkn walm wa jk wanakula bata tu kla mwk mshahara juu.Kama ndo hivo na walaaaniwe wote mnaowakata masikini waalimu wa nchi hii! Nyooooooooooopp
mikubwa....mishahara ya waalimu ni nafuu kuliko watumishi wengine kivipi?
Hizi ni propaganda za kipuuzi. Acheni uchonganishi usio na maana
Habari wanajamii,
Nimefurahishwa sana na uamuzi wa serikali kuanzisha makato ya Tsh 10000 kwa kila mwezi kutoka kwenye mishahara ya Walimu kwa ajili ya ujenzi wa maabara mashuleni. Japokuwa binafsi bado nakiona kiwango hicho kuwa ni kidogo sana ukilinganisha na unyeti na mahitaji ya maabara ktk shule za sekondari nchini.
Ingekuwa vyema kama zoezi hili lingehusisha watumishi wote wa serikali na sekta binafsi.
Hapa namaanisha kuanzia rais wa nchi ambaye yeye angechangia asilimia 20 ya pato lake kwa mwezi huku mawaziri, wabunge ,makatibu wakuu,makamishina ,wakurugenzi,wakuu wa wilaya na mikoa wachangie asilimia 10 ya mishahara yao kwa mwezi.Maafisa wengine waandamizi wa serikali pamoja na madiwani wakatwe asilimia 5 ya pato lao.
Maafisa watendaji wa kata na vijiji pamoja na wananchi wa hali ya chini wachangie nguvu zao kwa kujitolea .Kutokana na mchakato huo makato ya mwaka mmoja yataweza kutosha kujenga maabara kwa shule zote nchini.Pia serikali ifikirie kujenga maabara kuanzia ngazi ya shule za awali ,msingi na sekondari haadir kidato cha sita.
Hapo tutaweza kuibua, kulea na kukuza vipaji katika tasnia ya Sayansi na Teknolojia .
Hebu tulitafakari hili...
Wewe ndiye mmpuuzi . watu wanakatwa unaleta utani?