Hongera sana Wakenya na mahakama za Kenya

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Utawala wa Kenya chini ya Rais William Ruto umepata pigo kubwa baada ya mahakama kuu nchini humo jana Ijumaa Juni 30 kutoa amri ya kusitisha utekelezaji wa sheria mpya ya Fedha ya mwaka 2023.

Katika maamuzi yao yaliyotolewa na Jaji Muguru Thande wa Kitengo cha Katiba na Haki za Binadamu Milimani,

Mahakama imemzuia Waziri wa Fedha Njuguna Ndung’u na Mwanasheria Mkuu Justin Muturi na Mamlaka ya Mapato Kenya KRA kutotoza, kuiimarisha au utekelezaji zaidi wa sheria hiyo anbayo ilitarajiwa kuanza rasmi Julai 1, 2023,

Ikisubiriwa usikilizaji wa kesi iliyowasilishwa na Seneta wa Busia, Okiya Omtatah.

Amri hizo zilitolewa baada ya Omtatah na wanaharakati wengine wanne kuwasilisha maombi ya uharaka wakiomba kusimamishwa kwa utekelezaji wa Sheria mpya ya Fedha 2023

Ambayo ilitiwa saini na Rais Ruto siku ya Jumatatu na kuelezea kuwa ilikuwa kinyume cha katiba.

Wakati wakiomba amri ya muda itolewe wanaharakati hao walimjulisha jaji kwamba sheria iliyopitishwa na utawala wa Kenya Kwanza inapelekea kuwalazimisha wakenya kulipa kodi bila ya mpangilio wala uhalali.

Walioshtaki wanadai kwamba kodi zilizowekwa katika Sheria ya Fedha 2023 ni batili na zinakiuka kipengele cha 23 cha katiba.

Hakika kama Tanzania tungekuwa na katiba iliyo na ubora angalau nusu ya wakenya tusingekuwa tunapitishiwa miswaada ya kutatanisha.
 
Utawala wa Kenya chini ya Rais William Ruto umepata pigo kubwa baada ya mahakama kuu nchini humo jana Ijumaa Juni 30 kutoa amri ya kusitisha utekelezaji wa sheria mpya ya Fedha ya mwaka 2023.

Katika maamuzi yao yaliyotolewa na Jaji Muguru Thande wa Kitengo cha Katiba na Haki za Binadamu Milimani,

Mahakama imemzuia Waziri wa Fedha Njuguna Ndung’u na Mwanasheria Mkuu Justin Muturi na Mamlaka ya Mapato Kenya KRA kutotoza, kuiimarisha au utekelezaji zaidi wa sheria hiyo anbayo ilitarajiwa kuanza rasmi Julai 1, 2023,

Ikisubiriwa usikilizaji wa kesi iliyowasilishwa na Seneta wa Busia, Okiya Omtatah.

Amri hizo zilitolewa baada ya Omtatah na wanaharakati wengine wanne kuwasilisha maombi ya uharaka wakiomba kusimamishwa kwa utekelezaji wa Sheria mpya ya Fedha 2023

Ambayo ilitiwa saini na Rais Ruto siku ya Jumatatu na kuelezea kuwa ilikuwa kinyume cha katiba.

Wakati wakiomba amri ya muda itolewe wanaharakati hao walimjulisha jaji kwamba sheria iliyopitishwa na utawala wa Kenya Kwanza inapelekea kuwalazimisha wakenya kulipa kodi bila ya mpangilio wala uhalali.

Walioshtaki wanadai kwamba kodi zilizowekwa katika Sheria ya Fedha 2023 ni batili na zinakiuka kipengele cha 23 cha katiba.

Hakika kama Tanzania tungekuwa na katiba iliyo na ubora angalau nusu ya wakenya tusingekuwa tunapitishiwa miswaada ya kutatanisha.
Licha ya kasoro na mapungufu yao waliyonayo wakenya kuhusu ukabila na mapungufu madogomadogo ya kikatiba, lakini bado nchi yao ni miongoni mwa nchi chache sana barani Afrika na hata duniani zenye Katiba iliyo bora zaidi. Ni nchi ya Pili barani Afrika kuwa na Katiba nzuri na bora zaidi nyuma ya nchi ya Afrika Kusini, na hii inatokana na historia yao ya kupata uhuru kwa njia ya kupigana vita vya umwagaji wa damu, pamoja na wananchi kupitia mapito ya utawala wa mikiki-mikiki ya piga nikupige. Namna hii ya mapito ya kiutawala kwa upande mwingine imewafanya wananchi kuwa conscious kuhusu haki zao na hatimaye kuwa makini sana kufuatilia siasa za nchi zao, na kuwafanya wananchi wengi zaidi "kuamka kisiasa" (political consciousness).
 
Licha ya kasoro n mapungufu yao waliyonayo wakenya kuhusu ukabila na mapungufu madogomadogo ya kikatiba, lakini bado nchi yao ni miongoni mwa nchi chache sana barani Afrika na hata duniani zenye Katiba iliyo bora zaidi. Ni nchi y Pili barami Afrika kuwa na Katiba nzuri na bora zaidi nyuma ya nchi ya Afrika Kusini.
Nakuunga mkono kiongozi
 
Utawala wa Kenya chini ya Rais William Ruto umepata pigo kubwa baada ya mahakama kuu nchini humo jana Ijumaa Juni 30 kutoa amri ya kusitisha utekelezaji wa sheria mpya ya Fedha ya mwaka 2023.

Katika maamuzi yao yaliyotolewa na Jaji Muguru Thande wa Kitengo cha Katiba na Haki za Binadamu Milimani,

Mahakama imemzuia Waziri wa Fedha Njuguna Ndung’u na Mwanasheria Mkuu Justin Muturi na Mamlaka ya Mapato Kenya KRA kutotoza, kuiimarisha au utekelezaji zaidi wa sheria hiyo anbayo ilitarajiwa kuanza rasmi Julai 1, 2023,

Ikisubiriwa usikilizaji wa kesi iliyowasilishwa na Seneta wa Busia, Okiya Omtatah.

Amri hizo zilitolewa baada ya Omtatah na wanaharakati wengine wanne kuwasilisha maombi ya uharaka wakiomba kusimamishwa kwa utekelezaji wa Sheria mpya ya Fedha 2023

Ambayo ilitiwa saini na Rais Ruto siku ya Jumatatu na kuelezea kuwa ilikuwa kinyume cha katiba.

Wakati wakiomba amri ya muda itolewe wanaharakati hao walimjulisha jaji kwamba sheria iliyopitishwa na utawala wa Kenya Kwanza inapelekea kuwalazimisha wakenya kulipa kodi bila ya mpangilio wala uhalali.

Walioshtaki wanadai kwamba kodi zilizowekwa katika Sheria ya Fedha 2023 ni batili na zinakiuka kipengele cha 23 cha katiba.

Hakika kama Tanzania tungekuwa na katiba iliyo na ubora angalau nusu ya wakenya tusingekuwa tunapitishiwa miswaada ya kutatanisha.
Ujinga huu usije Tanzania
 
Back
Top Bottom