Fukua
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 546
- 479
Salaam wanajukwaa na watanzania wote.
Kwanza, nimshukuru Mungu muumba kwa uzima na afya tele NAMI nimeiona siku ya leo.
Pili, Nimshukuru Rais wetu Mpendwa Mama msikivu, mnyenyekevu, mpole, mchapakazi, na mwenye mapenzi mema na nchi yetu, Mama SAMIA kwa kuendelea kuiongoza nchi yetu kwa weledi wa Hali ya juu kabisa.
Kama Amir JESHI MKUU, watanzania tuko salama salimini, kama mfariji mkuu hujaacha kutufariji, kama kiongozi mkuu unatuongoza katika njia yenye mafanikio kabisa, kama mwakilishi wetu kimataifa umeirudisha heshima ya Tanzania kimataifa na kama Mama unatulea katika maadili mema ya kiutu,kistaarabu na kwa upendo wa agape.
Tatu, ninakupongeza mama kwa juhudi na maarifa kuundaa,kuuratibu,na kuusimamia huu mchakato/ zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, watanzania wenye akili tunafahamu halikua jambo rahisi, haukulala.
Na wasaidizi wako wameifanya kazi usiku na mchana kwa mioyo Yao yote na kwa mapenzi kwa nchi Yao na kwako pia kama Mama na kiongozi wetu, hakika mpaka mchakato kufikia hapa hawajakuangusha maana sisi raia na wananchi wa kawaida tunaona juhudi zao na namna wanavyoifanya kazi uliyowatuma kwa nguvu na akili zao ZOTE.
Nne, Ninatambua kwamba zoezi Bado linaendelea lkn dalili ya mvua ni mawingu makarani wengi wamemaliza kuchukua taarifa Tena kwa usahihi kabisa hivyo tukutoe wasiwasi zoezi litakuwa na ufanisi sana maana limeratibiwa kitaalamu na wataalamu wako field kukamilisha machache sana yaliyobakia.
Tano, Eeee Mama baadhi ya wanao ni wakorofi, wachonganishi, wakosoaji wasio na adabu, wavivu kufikiri na wapingaji wa Kila jema ulifanyalo wewe na hata sisi wadogo zao kwenye Yale utuagizayo kuyafanya kwa ajili ya familia yetu TANZANIA.
Zoezi hili watalipinga, hawatayaona mafanikio na juhudi zako, na Mbaya zaidi watatukana Na kututukana sisi wadogo zao, watatunga uongo yaani Kila njia Mbaya ili tu kuonyesha haujafanya lolote la maana, tunakuomba uendelee kuwavumilia ni ndugu zetu hatuna namna tutaishi nao, tutawaelimisha kwa upendo mpaka wataelewa tu.
SITA, hivi mama kazi hili ikifikia ukomo hivi vishkwambi hauwezi kuwaachia wanao wa mwisho (MAKARANI) Ambao wengi ni waalimu Ili kuboresha elimu maana vinawapendezea kwelikweli😁😄😁😄😁😄😁
Mwisho, HONGERA HONGERA HONGERA SANA MAMA WEWE NI JEMBE HASWAA
###2020-2025 unatosha ### 2025-2030 ni wewe tu.
Kwanza, nimshukuru Mungu muumba kwa uzima na afya tele NAMI nimeiona siku ya leo.
Pili, Nimshukuru Rais wetu Mpendwa Mama msikivu, mnyenyekevu, mpole, mchapakazi, na mwenye mapenzi mema na nchi yetu, Mama SAMIA kwa kuendelea kuiongoza nchi yetu kwa weledi wa Hali ya juu kabisa.
Kama Amir JESHI MKUU, watanzania tuko salama salimini, kama mfariji mkuu hujaacha kutufariji, kama kiongozi mkuu unatuongoza katika njia yenye mafanikio kabisa, kama mwakilishi wetu kimataifa umeirudisha heshima ya Tanzania kimataifa na kama Mama unatulea katika maadili mema ya kiutu,kistaarabu na kwa upendo wa agape.
Tatu, ninakupongeza mama kwa juhudi na maarifa kuundaa,kuuratibu,na kuusimamia huu mchakato/ zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, watanzania wenye akili tunafahamu halikua jambo rahisi, haukulala.
Na wasaidizi wako wameifanya kazi usiku na mchana kwa mioyo Yao yote na kwa mapenzi kwa nchi Yao na kwako pia kama Mama na kiongozi wetu, hakika mpaka mchakato kufikia hapa hawajakuangusha maana sisi raia na wananchi wa kawaida tunaona juhudi zao na namna wanavyoifanya kazi uliyowatuma kwa nguvu na akili zao ZOTE.
Nne, Ninatambua kwamba zoezi Bado linaendelea lkn dalili ya mvua ni mawingu makarani wengi wamemaliza kuchukua taarifa Tena kwa usahihi kabisa hivyo tukutoe wasiwasi zoezi litakuwa na ufanisi sana maana limeratibiwa kitaalamu na wataalamu wako field kukamilisha machache sana yaliyobakia.
Tano, Eeee Mama baadhi ya wanao ni wakorofi, wachonganishi, wakosoaji wasio na adabu, wavivu kufikiri na wapingaji wa Kila jema ulifanyalo wewe na hata sisi wadogo zao kwenye Yale utuagizayo kuyafanya kwa ajili ya familia yetu TANZANIA.
Zoezi hili watalipinga, hawatayaona mafanikio na juhudi zako, na Mbaya zaidi watatukana Na kututukana sisi wadogo zao, watatunga uongo yaani Kila njia Mbaya ili tu kuonyesha haujafanya lolote la maana, tunakuomba uendelee kuwavumilia ni ndugu zetu hatuna namna tutaishi nao, tutawaelimisha kwa upendo mpaka wataelewa tu.
SITA, hivi mama kazi hili ikifikia ukomo hivi vishkwambi hauwezi kuwaachia wanao wa mwisho (MAKARANI) Ambao wengi ni waalimu Ili kuboresha elimu maana vinawapendezea kwelikweli😁😄😁😄😁😄😁
Mwisho, HONGERA HONGERA HONGERA SANA MAMA WEWE NI JEMBE HASWAA
###2020-2025 unatosha ### 2025-2030 ni wewe tu.