Hongera Rais Samia kwa zoezi la Sensa linaloendelea nchini

Ni kwamba sijawahi kuteuliwa na siandiki ili kupata uteuzi ndio maana sikukuelewa pia kwa Nini Kila anayepongeza juhudi za serikali mnaishia kumvalisha kofia ya msaka teuzi?
Kama hujawahi teuliwa mkuu na binadamu wenda siku MOJA malaika wakakuteua mkuu,hapo Kuna shida mkuu?
 
Nasisitiza tu kwamba Huwa siandiki jambo ili kupata teuzi ndugu ni kwa mapenzi kwa nchi yangu na raisi wangu ninamkubali kwa uongozi wake
Hiyo sensa mnayosifia huku wengine tunaiskia redioni tu. Baadhi ya Makarani wenu huku wa mchongo siku ikianza wako bar wanakula vyombo, wakitoshekwa wanazama guest wanaandikisha watu wa kusadikika kutoka vichwani mwao then wanalala. Kesho wanaamka tena
 
Kitendo Cha Kamanda Mbowe kuwa Kimya toka Mama amtoe Lupango ni Ushahidi tosha kuwa Mama ni jembe ...!
Kamanda Kweli Wa Kuonekana mpaka misiba itokee..,?

ili Hali tozo imetamalaki Kila Kona?
ili Hali Lita Ya fuel bei haishikiki.?
ili Hali misaada Ya Kovidi tumepokea miujiza inaishia Wapi ndo hatuelewi.....!
ili Hali....

Enzi zile Sa' ivi angekuwa Yupo Mwanza au namtumbo Songea au Namanyele Kuongoza Kongamano La Kwanini ,Sembe bei'Juu wakati KATIBA BADO NI ILE ILE....!
Kweli Mama Jembe...!
Na bado mpaka muite maji mma.
 
Hiyo sensa mnayosifia huku wengine tunaiskia redioni tu. Baadhi ya Makarani wenu huku wa mchongo siku ikianza wako bar wanakula vyombo, wakitoshekwa wanazama guest wanaandikisha watu wa kusadikika kutoka vichwani mwao then wanalala. Kesho wanaamka tena
Weka ushahidi na sio kuwatuhumu makarani kwa maneno matupu
 
Salaam wanajukwaa na watanzania wote.

Kwanza, nimshukuru Mungu muumba kwa uzima na afya tele NAMI nimeiona siku ya leo.

Pili, Nimshukuru Rais wetu Mpendwa Mama msikivu, mnyenyekevu, mpole, mchapakazi, na mwenye mapenzi mema na nchi yetu, Mama SAMIA kwa kuendelea kuiongoza nchi yetu kwa weledi wa Hali ya juu kabisa.

Kama Amir JESHI MKUU, watanzania tuko salama salimini, kama mfariji mkuu hujaacha kutufariji, kama kiongozi mkuu unatuongoza katika njia yenye mafanikio kabisa, kama mwakilishi wetu kimataifa umeirudisha heshima ya Tanzania kimataifa na kama Mama unatulea katika maadili mema ya kiutu,kistaarabu na kwa upendo wa agape.

Tatu, ninakupongeza mama kwa juhudi na maarifa kuundaa,kuuratibu,na kuusimamia huu mchakato/ zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, watanzania wenye akili tunafahamu halikua jambo rahisi, haukulala.

Na wasaidizi wako wameifanya kazi usiku na mchana kwa mioyo Yao yote na kwa mapenzi kwa nchi Yao na kwako pia kama Mama na kiongozi wetu, hakika mpaka mchakato kufikia hapa hawajakuangusha maana sisi raia na wananchi wa kawaida tunaona juhudi zao na namna wanavyoifanya kazi uliyowatuma kwa nguvu na akili zao ZOTE.

Nne, Ninatambua kwamba zoezi Bado linaendelea lkn dalili ya mvua ni mawingu makarani wengi wamemaliza kuchukua taarifa Tena kwa usahihi kabisa hivyo tukutoe wasiwasi zoezi litakuwa na ufanisi sana maana limeratibiwa kitaalamu na wataalamu wako field kukamilisha machache sana yaliyobakia.

Tano, Eeee Mama baadhi ya wanao ni wakorofi, wachonganishi, wakosoaji wasio na adabu, wavivu kufikiri na wapingaji wa Kila jema ulifanyalo wewe na hata sisi wadogo zao kwenye Yale utuagizayo kuyafanya kwa ajili ya familia yetu TANZANIA.

Zoezi hili watalipinga, hawatayaona mafanikio na juhudi zako, na Mbaya zaidi watatukana Na kututukana sisi wadogo zao, watatunga uongo yaani Kila njia Mbaya ili tu kuonyesha haujafanya lolote la maana, tunakuomba uendelee kuwavumilia ni ndugu zetu hatuna namna tutaishi nao, tutawaelimisha kwa upendo mpaka wataelewa tu.

SITA, hivi mama kazi hili ikifikia ukomo hivi vishkwambi hauwezi kuwaachia wanao wa mwisho (MAKARANI) maana vinawapendezea kwelikweli😁😄😁😄😁😄😁

Mwisho, HONGERA HONGERA HONGERA SANA MAMA WEWE NI JEMBE HASWAA
###2020-2025 unatosha ### 2025-2030 ni wewe tu.
Karani mkubwa
 
Salaam wanajukwaa na watanzania wote.

Kwanza, nimshukuru Mungu muumba kwa uzima na afya tele NAMI nimeiona siku ya leo.

Pili, Nimshukuru Rais wetu Mpendwa Mama msikivu, mnyenyekevu, mpole, mchapakazi, na mwenye mapenzi mema na nchi yetu, Mama SAMIA kwa kuendelea kuiongoza nchi yetu kwa weledi wa Hali ya juu kabisa.

Kama Amir JESHI MKUU, watanzania tuko salama salimini, kama mfariji mkuu hujaacha kutufariji, kama kiongozi mkuu unatuongoza katika njia yenye mafanikio kabisa, kama mwakilishi wetu kimataifa umeirudisha heshima ya Tanzania kimataifa na kama Mama unatulea katika maadili mema ya kiutu,kistaarabu na kwa upendo wa agape.

Tatu, ninakupongeza mama kwa juhudi na maarifa kuundaa,kuuratibu,na kuusimamia huu mchakato/ zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, watanzania wenye akili tunafahamu halikua jambo rahisi, haukulala.

Na wasaidizi wako wameifanya kazi usiku na mchana kwa mioyo Yao yote na kwa mapenzi kwa nchi Yao na kwako pia kama Mama na kiongozi wetu, hakika mpaka mchakato kufikia hapa hawajakuangusha maana sisi raia na wananchi wa kawaida tunaona juhudi zao na namna wanavyoifanya kazi uliyowatuma kwa nguvu na akili zao ZOTE.

Nne, Ninatambua kwamba zoezi Bado linaendelea lkn dalili ya mvua ni mawingu makarani wengi wamemaliza kuchukua taarifa Tena kwa usahihi kabisa hivyo tukutoe wasiwasi zoezi litakuwa na ufanisi sana maana limeratibiwa kitaalamu na wataalamu wako field kukamilisha machache sana yaliyobakia.

Tano, Eeee Mama baadhi ya wanao ni wakorofi, wachonganishi, wakosoaji wasio na adabu, wavivu kufikiri na wapingaji wa Kila jema ulifanyalo wewe na hata sisi wadogo zao kwenye Yale utuagizayo kuyafanya kwa ajili ya familia yetu TANZANIA.

Zoezi hili watalipinga, hawatayaona mafanikio na juhudi zako, na Mbaya zaidi watatukana Na kututukana sisi wadogo zao, watatunga uongo yaani Kila njia Mbaya ili tu kuonyesha haujafanya lolote la maana, tunakuomba uendelee kuwavumilia ni ndugu zetu hatuna namna tutaishi nao, tutawaelimisha kwa upendo mpaka wataelewa tu.

SITA, hivi mama kazi hili ikifikia ukomo hivi vishkwambi hauwezi kuwaachia wanao wa mwisho (MAKARANI) maana vinawapendezea kwelikweli😁😄😁😄😁😄😁

Mwisho, HONGERA HONGERA HONGERA SANA MAMA WEWE NI JEMBE HASWAA
###2020-2025 unatosha ### 2025-2030 ni wewe tu.
Uchawa umezidi mkuu acha kujipendekeza kwa binadamu mwenzako namna hili ni aibu sana
 
Salaam wanajukwaa na watanzania wote.

Kwanza, nimshukuru Mungu muumba kwa uzima na afya tele NAMI nimeiona siku ya leo.

Pili, Nimshukuru Rais wetu Mpendwa Mama msikivu, mnyenyekevu, mpole, mchapakazi, na mwenye mapenzi mema na nchi yetu, Mama SAMIA kwa kuendelea kuiongoza nchi yetu kwa weledi wa Hali ya juu kabisa.

Kama Amir JESHI MKUU, watanzania tuko salama salimini, kama mfariji mkuu hujaacha kutufariji, kama kiongozi mkuu unatuongoza katika njia yenye mafanikio kabisa, kama mwakilishi wetu kimataifa umeirudisha heshima ya Tanzania kimataifa na kama Mama unatulea katika maadili mema ya kiutu,kistaarabu na kwa upendo wa agape.

Tatu, ninakupongeza mama kwa juhudi na maarifa kuundaa,kuuratibu,na kuusimamia huu mchakato/ zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, watanzania wenye akili tunafahamu halikua jambo rahisi, haukulala.

Na wasaidizi wako wameifanya kazi usiku na mchana kwa mioyo Yao yote na kwa mapenzi kwa nchi Yao na kwako pia kama Mama na kiongozi wetu, hakika mpaka mchakato kufikia hapa hawajakuangusha maana sisi raia na wananchi wa kawaida tunaona juhudi zao na namna wanavyoifanya kazi uliyowatuma kwa nguvu na akili zao ZOTE.

Nne, Ninatambua kwamba zoezi Bado linaendelea lkn dalili ya mvua ni mawingu makarani wengi wamemaliza kuchukua taarifa Tena kwa usahihi kabisa hivyo tukutoe wasiwasi zoezi litakuwa na ufanisi sana maana limeratibiwa kitaalamu na wataalamu wako field kukamilisha machache sana yaliyobakia.

Tano, Eeee Mama baadhi ya wanao ni wakorofi, wachonganishi, wakosoaji wasio na adabu, wavivu kufikiri na wapingaji wa Kila jema ulifanyalo wewe na hata sisi wadogo zao kwenye Yale utuagizayo kuyafanya kwa ajili ya familia yetu TANZANIA.

Zoezi hili watalipinga, hawatayaona mafanikio na juhudi zako, na Mbaya zaidi watatukana Na kututukana sisi wadogo zao, watatunga uongo yaani Kila njia Mbaya ili tu kuonyesha haujafanya lolote la maana, tunakuomba uendelee kuwavumilia ni ndugu zetu hatuna namna tutaishi nao, tutawaelimisha kwa upendo mpaka wataelewa tu.

SITA, hivi mama kazi hili ikifikia ukomo hivi vishkwambi hauwezi kuwaachia wanao wa mwisho (MAKARANI) maana vinawapendezea kwelikweli

Mwisho, HONGERA HONGERA HONGERA SANA MAMA WEWE NI JEMBE HASWAA
###2020-2025 unatosha ### 2025-2030 ni wewe tu.
Umeelezea vizuri sana.
 
Aisee chief unatumia nguvu nyingi sana na naona ”Kurugenzi Shauri ya Ikulu” siku hizi hawapiti humu.

Nakushauri ingia kwenye website ya ikulu tafuta namba za Zuhra Yunus atakusaidia kuwasiliana na mama ili angalao upewe hata kazi ya ufagizi.
Weka namba yako,upate wewe,huko uliko,kwa hayo ulioandika.
 
Nasisitiza tu kwamba Huwa siandiki jambo ili kupata teuzi ndugu ni kwa mapenzi kwa nchi yangu na raisi wangu ninamkubali kwa uongozi wake
Wao waweke namba zao,kwa hao,wanaowatumikia,huko waliko,wapate teuzi,huko pia kuna teuzi kibao.
 
Weka yako namba,upate teuzi huko uliko.
Una IDs nyingi. Mi nlishapata. Naona unapambana kutaka kututoa sisi wengine....utaishia hivyo hivyo kilaza wewe...unadhani Rais yeye atachagua kila ambaye ataandika pumba? Fanya kazi siyo kutaka kuwa chawa rahisi rahisi....😁
 
Salaam wanajukwaa na watanzania wote.

Kwanza, nimshukuru Mungu muumba kwa uzima na afya tele NAMI nimeiona siku ya leo.

Pili, Nimshukuru Rais wetu Mpendwa Mama msikivu, mnyenyekevu, mpole, mchapakazi, na mwenye mapenzi mema na nchi yetu, Mama SAMIA kwa kuendelea kuiongoza nchi yetu kwa weledi wa Hali ya juu kabisa.

Kama Amir JESHI MKUU, watanzania tuko salama salimini, kama mfariji mkuu hujaacha kutufariji, kama kiongozi mkuu unatuongoza katika njia yenye mafanikio kabisa, kama mwakilishi wetu kimataifa umeirudisha heshima ya Tanzania kimataifa na kama Mama unatulea katika maadili mema ya kiutu,kistaarabu na kwa upendo wa agape.

Tatu, ninakupongeza mama kwa juhudi na maarifa kuundaa,kuuratibu,na kuusimamia huu mchakato/ zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI, watanzania wenye akili tunafahamu halikua jambo rahisi, haukulala.

Na wasaidizi wako wameifanya kazi usiku na mchana kwa mioyo Yao yote na kwa mapenzi kwa nchi Yao na kwako pia kama Mama na kiongozi wetu, hakika mpaka mchakato kufikia hapa hawajakuangusha maana sisi raia na wananchi wa kawaida tunaona juhudi zao na namna wanavyoifanya kazi uliyowatuma kwa nguvu na akili zao ZOTE.

Nne, Ninatambua kwamba zoezi Bado linaendelea lkn dalili ya mvua ni mawingu makarani wengi wamemaliza kuchukua taarifa Tena kwa usahihi kabisa hivyo tukutoe wasiwasi zoezi litakuwa na ufanisi sana maana limeratibiwa kitaalamu na wataalamu wako field kukamilisha machache sana yaliyobakia.

Tano, Eeee Mama baadhi ya wanao ni wakorofi, wachonganishi, wakosoaji wasio na adabu, wavivu kufikiri na wapingaji wa Kila jema ulifanyalo wewe na hata sisi wadogo zao kwenye Yale utuagizayo kuyafanya kwa ajili ya familia yetu TANZANIA.

Zoezi hili watalipinga, hawatayaona mafanikio na juhudi zako, na Mbaya zaidi watatukana Na kututukana sisi wadogo zao, watatunga uongo yaani Kila njia Mbaya ili tu kuonyesha haujafanya lolote la maana, tunakuomba uendelee kuwavumilia ni ndugu zetu hatuna namna tutaishi nao, tutawaelimisha kwa upendo mpaka wataelewa tu.

SITA, hivi mama kazi hili ikifikia ukomo hivi vishkwambi hauwezi kuwaachia wanao wa mwisho (MAKARANI) maana vinawapendezea kwelikweli

Mwisho, HONGERA HONGERA HONGERA SANA MAMA WEWE NI JEMBE HASWAA
###2020-2025 unatosha ### 2025-2030 ni wewe tu.
Rubbish.
 
Back
Top Bottom