Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Nakupa sana Hongera Lipumba kwa nafasi mpya Duniani kuongoza harakati za Uchumi.CCM walikuona huna maana ila Dunia kila siku ina waumbua .Hongera sana na achana na KAFU hawa wanapoteza muda waache watafute mwenyekiti mwingine au Maalim awe Karibu Mkuu na Mwenyekiti Mkuu