Hongera Lowassa, Hongera UKAWA

Mimi kura yangu haijapotea.Nina Diwani,Nina Kubenea,Thanks to Ngoyai.Hongera mimi, hongera CDM, hongera UKAWA.Pipoooooooooooooozzzz
Hata mimi sijilaumu. Nilichagua vizuri kabisa. Nina diwani wa CUF na mbunge wa CUF jimbo la Kinondoni. Kidogo tungezoa Dar Es Salaam yote. Naamini tumepiga hatua. Ninatamani hawa wa UKAWA waliopata nafasi wafanye kazi mpaka basi. Kwa wingi wa madiwani tuliopata wana uwezo wa kuchagua mameya wote pamoja na meya wa jiji. Natamani wachape kazi hasa. Ili 2020 tuzoe jiji zima. Pamoja na kuendelea kuimarisha harakati huko mikoani
 
Hongera Lowassa, Hongera UKAWA. Pole sana CCM.
Nimesoma post nyingi sana za kukatisha tamaa kwenye jukwaa hili na kwingineko. Wengi wenu mnafikiri safari ya ukombozi ni sawa na kutembea kwa mguu toka Karimjee kwenda Ikulu. Wengine wananichekesha kuanza kudai ati ?sitapiga kura tena.? We mwehu au umetumwa!!! Sasa usipopiga kura ndio utakuwa unawakomoa usiowapenda? Wendawazimu wakubwa ni wale waoipongeza CCM kwa kushinda uchaguzi. Yaani, unaweza kumpongeza Magufuli kwa jambo moja tu, ?kufanikiwa kukanyaga Ikulu akiitwa rais. Huwezi kumpongeza kwa jambo lolote lingine. Mwenye kustahili pongezi katika uchaguzi huu ni Lowassa na UKAWA.

Wapo wana CCM wanaomcheka Lowassa kwa kuhama CCM na kugombea kupitia CHADEMA na mwisho kutangazwa amekuwa wa pili. Tume ya uchaguzi imempa Lowassa kura milioni sita. Wewe unayemkebehi Lowassa umewahi kushiriki uchaguzi wowote na kupata japo kura elfu mbili tu? Acha ujinga. Lowassa ameonesha kuwa anakubalika kuliko mtu mwingine yoyote Tanzania, na kauli yake inaogopewa sana, na ndio maana jeshi la polisi limeandikisha polisi wengi kuliko idadi. Wanaogopa. Neno moja tu la Lowassa linaweza kusababisha hata huyo mteule wa tume asiweze kuapishwa. Neno moja alilosema Lowassa, ?msifanye fujo na kuwapa sababu.? Ndio maana nasema hongera Lowassa.

UKAWA je, kwanini hongera? Kudadadeki! Hapo ndipo nasema HONGERA tena kwa herufi kubwa zaidi. Pamoja na waasisi kukimbia, UKAWA kamwe haijageuka kuwa ukiwa kama kiongozi mkuu wa CCM alivyosema katika moja ya mikutano. Kama unayesoma ujumbe huu ni mkazi wa Dar es salaam, basi kuna uwezekano kwa asilimia kubwa diwani wako ni UKAWA. Manispaa yako itaongozwa na UKAWA na hata Jiji la Dar es salaam huenda likabadilishwa jina na kuwa UKAWA CITY. Hakuna mwenye uwezo wa kuzuia jambo hilo. Pombe ataongoza toka Magogoni na kando yake tu, pale Karimjee; BENDERA za vyama vinavyounda UKAWA zitakuwa zinapepea, kando ya ile ya taifa au ya jiji. Hapo atakuwepo ?rais? wa Dar akimaliza kero za wananchi. Sasa unategemea wanaukawa waingiwe ukiwa kwa ushindi mkubwa kama huu? Nendeni Dodoma mkaipige hiyo minyimbo yenu ya TOT; kwani hapo Dar nani kaisoma namba? Na hata huko Dodoma, baadhi yao wamepisha siti ili UKAWA waweze kukaa; yaani kama vile mtoto wa shule anavyompisha siti mkubwa wake kwenye daladala. UKAWA anakaa na CCM anashika bomba, kisha atashuka tu kituo kinachofuata.

Ndugu zangu msiweke tena post za kusema pole au kukata tamaa. Wapeni pole hao waliopoteza dira. Unajua mabadiliko sio kuvuka kijito. Ni kuvuka mito, mabonde na bahari. Hapa safari ilipofika sio padogo na tafu ya Ngoyayi haikuwa haba. Wekeni sasa post za mikakati ya sasa na malengo ya kusonga mbele. Na hata kwenye uzi huu ningependa usiweke maneno mengi zaidi ya kusema HONGERA LOWASSA, HONGERA UKAWA.

pole fisadi pesa zetu ulizoziiba miaka mingi mungu ametuludishia kuna watu wanamaliza uchaguz wanamitaji mikubwa na wengine wakimalizia ujenzi ,wewe naona ulitaka ushinde mabaraza na jiji moja la dar,arusha na kilimanjaro kwingine kote umeisoma namba
 
Hongera Lowassa, Hongera UKAWA. Pole sana CCM.
Nimesoma post nyingi sana za kukatisha tamaa kwenye jukwaa hili na kwingineko. Wengi wenu mnafikiri safari ya ukombozi ni sawa na kutembea kwa mguu toka Karimjee kwenda Ikulu. Wengine wananichekesha kuanza kudai ati ?sitapiga kura tena.? We mwehu au umetumwa!!! Sasa usipopiga kura ndio utakuwa unawakomoa usiowapenda? Wendawazimu wakubwa ni wale waoipongeza CCM kwa kushinda uchaguzi. Yaani, unaweza kumpongeza Magufuli kwa jambo moja tu, ?kufanikiwa kukanyaga Ikulu akiitwa rais. Huwezi kumpongeza kwa jambo lolote lingine. Mwenye kustahili pongezi katika uchaguzi huu ni Lowassa na UKAWA.

Wapo wana CCM wanaomcheka Lowassa kwa kuhama CCM na kugombea kupitia CHADEMA na mwisho kutangazwa amekuwa wa pili. Tume ya uchaguzi imempa Lowassa kura milioni sita. Wewe unayemkebehi Lowassa umewahi kushiriki uchaguzi wowote na kupata japo kura elfu mbili tu? Acha ujinga. Lowassa ameonesha kuwa anakubalika kuliko mtu mwingine yoyote Tanzania, na kauli yake inaogopewa sana, na ndio maana jeshi la polisi limeandikisha polisi wengi kuliko idadi. Wanaogopa. Neno moja tu la Lowassa linaweza kusababisha hata huyo mteule wa tume asiweze kuapishwa. Neno moja alilosema Lowassa, ?msifanye fujo na kuwapa sababu.? Ndio maana nasema hongera Lowassa.

UKAWA je, kwanini hongera? Kudadadeki! Hapo ndipo nasema HONGERA tena kwa herufi kubwa zaidi. Pamoja na waasisi kukimbia, UKAWA kamwe haijageuka kuwa ukiwa kama kiongozi mkuu wa CCM alivyosema katika moja ya mikutano. Kama unayesoma ujumbe huu ni mkazi wa Dar es salaam, basi kuna uwezekano kwa asilimia kubwa diwani wako ni UKAWA. Manispaa yako itaongozwa na UKAWA na hata Jiji la Dar es salaam huenda likabadilishwa jina na kuwa UKAWA CITY. Hakuna mwenye uwezo wa kuzuia jambo hilo. Pombe ataongoza toka Magogoni na kando yake tu, pale Karimjee; BENDERA za vyama vinavyounda UKAWA zitakuwa zinapepea, kando ya ile ya taifa au ya jiji. Hapo atakuwepo ?rais? wa Dar akimaliza kero za wananchi. Sasa unategemea wanaukawa waingiwe ukiwa kwa ushindi mkubwa kama huu? Nendeni Dodoma mkaipige hiyo minyimbo yenu ya TOT; kwani hapo Dar nani kaisoma namba? Na hata huko Dodoma, baadhi yao wamepisha siti ili UKAWA waweze kukaa; yaani kama vile mtoto wa shule anavyompisha siti mkubwa wake kwenye daladala. UKAWA anakaa na CCM anashika bomba, kisha atashuka tu kituo kinachofuata.

Ndugu zangu msiweke tena post za kusema pole au kukata tamaa. Wapeni pole hao waliopoteza dira. Unajua mabadiliko sio kuvuka kijito. Ni kuvuka mito, mabonde na bahari. Hapa safari ilipofika sio padogo na tafu ya Ngoyayi haikuwa haba. Wekeni sasa post za mikakati ya sasa na malengo ya kusonga mbele. Na hata kwenye uzi huu ningependa usiweke maneno mengi zaidi ya kusema HONGERA LOWASSA, HONGERA UKAWA.

Hongera Ukawa. hongera Luwasa.hongera Mbowe. hongera Mbatia. hongera Maalimu Seif. Hongra NLD familia ya Makaidi pokeeni hongera kwa niaba Baba. hongera mleta mada. Mungu yupamoja nasi.

Hongereni sana.
Nimependa mawazo yenu na mtizamo wenu.
Ni wakati wa kusonga mbele na kujenga taifa.

Kama kuna jambo moja ambalp watanzania tunalihitaji ni kutambua kuwa wananchi wana uwezo na wajibu wa kuisimamia na kuiwajibisha serikali na viongozi wao.

Jambo hili halifanyiki na linaleta sha shida nyingi.
 
Hongera UKAWA na Hongera Lowassa.
Hata tukiamini kuwa kura m6 ndizo alizopata, bado ni hatua muhimu sana kwa mabadiliko ya nchi yetu. Lowassa ameweza kuwaonyesha Watanzania kuwa sasa tunaweza kufanya siasa hata nje ya ccm.
Kwenye uchaguzi huu tulichagua Madiwani, Wabunge (wa kuchaguliwa) na Rais. Katika kura za rais, pia tulichagua Wabunge wa viti maalum. Hivyo hata kama azma ya kumfikisha Lowassa ikulu haikutimia, bado hatua tumeipiga. Tutapata madiwani wa viti maalum asilimia 40% kwa sasa, na zaidi mbegu ya mabadiliko imezidi kumea na kuchanua vyema.
 
Hongera UKAWA na Hongera Lowassa.
Hata tukiamini kuwa kura m6 ndizo alizopata, bado ni hatua muhimu sana kwa mabadiliko ya nchi yetu. Lowassa ameweza kuwaonyesha Watanzania kuwa sasa tunaweza kufanya siasa hata nje ya ccm.
Kwenye uchaguzi huu tulichagua Madiwani, Wabunge (wa kuchaguliwa) na Rais. Katika kura za rais, pia tulichagua Wabunge wa viti maalum. Hivyo hata kama azma ya kumfikisha Lowassa ikulu haikutimia, bado hatua tumeipiga. Tutapata madiwani wa viti maalum asilimia 40% kwa sasa, na zaidi mbegu ya mabadiliko imezidi kumea na kuchanua vyema.

Sure! So brilliant kwa mtazamo makini.
 
=Sigma;14503982]Slaa 2010 alipata kura 2,271, 941. Roughly in Kama Lowassa anakubalika mara Tatu zaidi ya Slaa.

Sigma

Ungetakiwa kuzingatia na idadi ya watu waliojiandikisha kupiga kura kati ya 2010 na 2015.. ni mtazamo wangu tu
 
Last edited by a moderator:
Si watoe nakala za kura zao kwenye majimbo zikiwa tofauti kiasi ha kuonesha hila ha NEC watu watawaunga mkono.
 
Muda wa kulialia tumeibiwa ushakwisha sasa ni mkakati maalum kila kijiji nchi kua Na ofisi ya ukawa alafu kila mwezi at least Mara 1 anakuja kiongoz mkubwa toka ukawa kuwa brash masumu ya nzi kijani vichwani mwao.. Peeeeepoooozzz
 
Eti Lowassa anaogopwa, aogopwe na nani kwa utajiri wake au!

Angekuwa haogopwi kituo cha haki za binadamu mmeenda kufanya nn???wenyewe mnahaha kama kuku anaeumwa na yai na hajapata pa kutagia don't fool yourself we have got a fake leader from fake process.take it from me and since everything is fake,don't expect miracles.
 
Kwangu Lowassa ndo Raisi na ni shujaa wa watanzania wengi,huyo mwingine namuonea huruma maana atafanya matakwa ya waliomuweka ikulu.
 
bado zimeibiwa nyingi lakini amepata 6,000,000. Tulipwaya sana nakujiamani kupita kiasi ndio maana ikawa rahisi kutumia nguvu ya dola kutumaliza. Hapo ndio tulipo jisahau tu.

Nakubaliana na wewe, mimi iliniuma sana baada ya viongozi wetu kukubali kutokulinda kura, mita 201 was inevitable, kama walimsoma JK baada ya hukumu alifurahi sana kwenye jukwaa, he knew that the game was over.

Lowassa umri wa miaka 62 ni mdogo sana sasa ni kutafuta tume huru 2020 njia tambalale
 
ccm tumeshinda ila dr magufuri uwe makini na utekereze ilani yako maana mwaka 2010, 61% ndio tulipata ushindi ila mwaka 2015 tumeshinda kwa 58% maana tumeshuka sasa tuwe makini sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Tumshukuru sana Mungu kwa kuinusuru nchi.UKAWA ingeshinda watanzania wangepata taabu mno
 
Wana mabadiliko... ujio wa lowassa umewafanya ccm kupanic na kuconcetrate bara na kuitelekeza zenj.... zenj ikaponyoka.... i am sure zanzibar will never be the same again
.. hongera Lowassa hongera ukawa....
 
Back
Top Bottom