afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
Dah!!! Mimi sio mume wa mtu sasa sijui lini nitakuwa mume wa mtu lakini chauro all in all thanks for this useful post
mmmhh sijajua ukiingia huku kwenye JF
unananikana mie a watoto ..
mmmhhh leo ndo utaona cha mtema kunde ..
hahahaha lol
mambo vipi lakini ??