Hongera Kikwete kwa hili la Kigamboni

Namimi iko siku ntakuwa mkuu katika nchii hii, piga dili mwanzo mwisho ukikaribia kutema funguo za white house unamalizia na barabara ya kilomita 5, tuone wasikuabudu kwa kukushukuru na kukisahau kile ulicho watendea.
Hakika una wajua Watanzania.
 
Hata nyerere hakua msafi 100%nae alikua na madhaifu yake,sio yeye tu wote waliofuatia nao wanamapungufu yao,hata mwenyekiti wenu nae anamapungufu yake ya kiuongozi,acha chuki.
Chuki kutamani uongozi wastail ya kitanzania?, huwi na mapungufu hadi kwenye mali za uma, unachekesha sna ww, familia yako imo nn kwenye kundi la waongoza nchi?.
 
Hahaha
Daraja likiongelewaga uwa lina leta hisia kweli hli, nawachek tuu apa
 
Hakika wana kigamboni na viunga vyake watakukumbuka daima,leo nimesema nifanye ziara fupi ya kushtukiza nilichokiona nimefurahi na kufarijika sana na kwa mwendo huu TZ yangu naiona inapaa,itakua si busara kuacha kukupongeza mh wetu pamoja na yote tunayoyasikia lakini ulikua na nia ya dhati ya kuwasaidia watanzania,hongera sana kwa niaba ya wapenda maendeleo.

Hata mimi ningekuwa rais kwa muda wa miaka kumi ningeweza kujemga hilo daraja. Yaani miaka kumi yote mtu anasifiwa kwa kujenga daraja! Watanzania kweli tuko nyuma. Amefanya nini kuongeza ajira, uchumi, huduma za afya, kuzuia mfumuko wa bei, kupunguza rushwa, kuendeleza viwanda na kilimo.
 
Hata mimi ningekuwa rais kwa muda wa miaka kumi ningeweza kujemga hilo daraja. Yaani miaka kumi yote mtu anasifiwa kwa kujenga daraja! Watanzania kweli tuko nyuma. Amefanya nini kuongeza ajira, uchumi, huduma za afya, kuzuia mfumuko wa bei, kupunguza rushwa, kuendeleza viwanda na kilimo.
Ili uonekane great thinker ni vema ukaweka takwimu za kuonyesha hali ya ajira alipoingia na alipotoka na mambo mengineyo unayoyaamini. Hapo utatuwezesha na sisi kupima.

Napata shida kukuelewa hata na wenzako kwa kulazimisha fikra za chuki kwa kiongozi bila kutoa takwimu au vigezo vya maana, itoshe kujadili mambo kama tupo kwenye vijiwe vya kahawa.

Jamii forum ni eneo la kukuza maarifa na siyo eneo la kueneza chuki za kisiasa, kijamii hata kiuchumi.
 
JK na Dr. Dau ! tutawakumbuka sana!.. UDOM , KIGAMBONI BRIDGE SIO DOGO HILI
Huu ni wajibu wao sio offer ila bado ukweli utabaki kuwa mpunga uliopigwa Escrow ungejenga madaraja mangapi bila kusahau ununuzi wa ardhi kwa 800 millioni kwa kiwanja kimoja.hapa segerea tu ndiyo ilikuwa halali yao ili liwe funzo kwa wengine wa hii dizaini
 
Huu ni wajibu wao sio offer ila bado ukweli utabaki kuwa mpunga uliopigwa Escrow ungejenga madaraja mangapi bila kusahau ununuzi wa ardhi kwa 800 millioni kwa kiwanja kimoja.hapa segerea tu ndiyo ilikuwa halali yao ili liwe funzo kwa wengine wa hii dizaini

hivi hizo poro miliono 800 kwa hekari unaziamini...? hebu jaribuni kuwa reasonable kidogo .. lol ! magazeti huandikwa na watu kama wewe...

report ya Cag anayo JPM na CAG mwenyewe hizo taarifa ninyi mmetoa wapi..?
 
mradi mzuri lakini wamepiga hela refu kupindukia. dr. dau na wenzake inabidi waeleze kwa nini bei kubwa ya kutisha kama hawajakula mpunga.

Mkuu nikueleze ukweli tu, kupiga hela hakukwepeki kwenye miradi mikubwa, hilo ukae ukilijua, ila tumshukuru JK, JPM na Dr Dau, maana kazi imefanyika
 
Ni kweli, JK tunahaki ya kumpongeza,, kwani hata hiyo flyover ya tazara ni kiporo chake, pia tumesahau pale uwanja wa ndege JKNA.

uwanja wa taifa
uwanja wa ndege
daraja la kigamboni
UDOM


barabara kiwango cha lami mikoani..
UHURU WA VYOMBO VYA HABARI ...(LEO HII TUKANA MAGUFULI FACEBOOK UONE CHA MTEMA KUNI)

Huyu mtu wa pwani tutamkumbuka sana....

"kuna watu utawasikia wanasema JK Hachomoi hapa,,, mimi najiuliza ahh kwani nimechomeka ninii?" - JK 9 December
 
the vasco da gama the fisadiz of my kodi and fedha za masikini.
bilion 320 za escrow zingejenga km 320 za barabara kwa kiwango cha lami! but the jizi No 1 & his genge wamekwiba zoooote!! eti leo mtu na akili zake kabsaa anajitoa ufahamu kwa makusudi! eti asante naninani sijuwi! si bure we utakuwa hulipi kodi ndo maana hujuwi hata hela ya daraja imetoka wapi! otherwise mirembe inakuhusu!!
 
the vasco da gama the fisadiz of my kodi and fedha za masikini.
bilion 320 za escrow zingejenga km 320 za barabara kwa kiwango cha lami! but the jizi No 1 & his genge wamekwiba zoooote!! eti leo mtu na akili zake kabsaa anajitoa ufahamu kwa makusudi! eti asante naninani sijuwi! si bure we utakuwa hulipi kodi ndo maana hujuwi hata hela ya daraja imetoka wapi! otherwise mirembe inakuhusu!!
Sijui nikufananishe na nani?shule gani uliyosoma we popoma?ubongo wako umejaa kamasi tupu,escrow yenyewe hata huna unachojua,kikwete kwa taarifa yako kaikuta kama magufuli alivyoikuta,unataka kujua ni ya nani?rudi shule
 
Back
Top Bottom