Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau,
Yapo mengi yasiyofaa yanayonenwa dhidi ya Kanisa Katoliki. Ukweli ni kuwa yeyote anayekusudia kuanzisha mradi wowote wa kiroho huanza kwa kulisakama kanisa Katoliki kuwa halifai.
Pamoja na mengi yanayosemwa bado kuna ukweli mchugu kuwa Kanisa Katoliki ndilo linaongoza kwa kutoa misaada kwa Jamii za Watu masikini duniani.
Kwa uchache ni pamoja na Shule mbalimbali kuanzia chekechea hadi Vyuo Vikuu, Vituo mbalimbali vya Afya hadi Hospital za Rufaa, Vituo vya kulelea watoto yatima, huduma za maji, ushauri nasaha, ujasiriamali n.k.
Kwa bahati mbaya wote wanenao mabaya dhidi yenu HAKUNA HATA MMOJA aliyewahi kujitoa Kikamilifu kwa Jamii Kama ninyi mlivyojitoa
Nawapongeza Sana Wakatoliki wote kwa Moyo wa kujitolea kwa hali na Mali.
Mungu wa baba zetu azidi kuwabariki
Yapo mengi yasiyofaa yanayonenwa dhidi ya Kanisa Katoliki. Ukweli ni kuwa yeyote anayekusudia kuanzisha mradi wowote wa kiroho huanza kwa kulisakama kanisa Katoliki kuwa halifai.
Pamoja na mengi yanayosemwa bado kuna ukweli mchugu kuwa Kanisa Katoliki ndilo linaongoza kwa kutoa misaada kwa Jamii za Watu masikini duniani.
Kwa uchache ni pamoja na Shule mbalimbali kuanzia chekechea hadi Vyuo Vikuu, Vituo mbalimbali vya Afya hadi Hospital za Rufaa, Vituo vya kulelea watoto yatima, huduma za maji, ushauri nasaha, ujasiriamali n.k.
Kwa bahati mbaya wote wanenao mabaya dhidi yenu HAKUNA HATA MMOJA aliyewahi kujitoa Kikamilifu kwa Jamii Kama ninyi mlivyojitoa
Nawapongeza Sana Wakatoliki wote kwa Moyo wa kujitolea kwa hali na Mali.
Mungu wa baba zetu azidi kuwabariki