- Thread starter
- #81
Mkuu bado unatumia makosa yaleyale ya kulinganisha yale ya mwaka 1980 kwa mtazamo wa leo wakati hujui thamani ya Tshs mwaka 1980. Labda niweke hilo pato (highlighted) na tulifanye kwa mwezi..Mwaka 1980 hakuna kiongozi wala mtu aliyekuwa akipata mshahara wa Tsh 3,088 hakuna labda rais na mawaziri sina hakika, ni nyingi sana.. lakini leo hizo 662,856 ni mshahara wa kati kabisa kwa wafanyakazi (graduates) na maisha bado yatawashinda. Kwa hiyo, mwananchi wa mwaka 1980 aliyepata mshahara wa Tsh 700 robo ya pato la Tsh3,088 aliweza kuendesha maisha yake hadi akajenga nyumba na kadhalika wakati leo hii tunashindwa kuendesha maisha hadi tupewe 662,856 bado huoni kwamba hali ya maisha ya leo hailingani na pato?..
Mkuu,
Na nyie mnatumia makosa yale yale ya kulinganisha cost of living ya mwaka 1980 na cost of living ya mwaka 2011. Gharama ya ujenzi nyumba miaka ya 1980 ilikuwa haizidi Tshs 100,000 kama sikosei au zaidi. Leo hii bila ya milioni 10 hujajenga nyumba hata ya mbavu mbili. Tunarudi pale pale mazingira tofauti. Ila labda nikuulize inflation nayo inawakilisha gharama halisi za maisha Tanzania? Inflation ni 14% mie nimenunua mkate jana sehemu nimekuta ni Shs 2800 mkate huo mwaka jana ulikuwa Shs 1000 an increase of almost 100% je kuna uwiano hapo? Utaona any economic metric inatumia benchmark fulani kuwakilisha taswira ya sehemu husika. There is no such a thing as an actual economic metric in economics. Zote zina assumption fulani ambazo they have certain weakness. However, GDP has remain a strong indicator of economic performance na ndio maana hadi kesho financial markets in US, UK, Hong Kong, Australia are using it an important indicator of country economic performance and country well being.
Tukirudi katika kumpongeza JK hebu tufanye comparison of Tanzania GDP per capital income against other nations in East Africa. In 1980 our GDP took us to the bottom of income table tukijulikana kama moja nchi maskini kabisa duniani behind the likes of Msumbiji. 2010 We are 50th poorest nation isn't that an achievement? We are just few yards behind Kenya je sio mafanikio? Wewe ukiwa wa mwisho darasani na ikatokea ukawa wa 20 darasani hutafurahi na kushukuru? Tulikuwa mkiani kiuchumi leo tuko nafasi ya 50 kwa umaskini na tunaelekea kupanda mnasema sawa sawa kweli watanzania hatuna shukrani? I beg to differ wakuu. This is a success.
in relatives to other nations tukicompare our income miaka 1980 tulikuwa nchi za mkiani kwa utajiri