Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Napenda kuwapongeza wahusika wote wanaohusika na hazina kwa kutoa mishahara ya watumishi mapema kabla ya tarehe stahili; wamefanya kazi nzuri sana mwezi huu ambao bado siku chache Watanzania wataungana na watu wengine duniani kusherehekea sikukuu za Krismas na Mwaka mpya. Hongera Mawaziri wahusika, makatibu wa Wizara, Wakurugenzi na wadau wengine pokeeni pongezi hizo na mwendelee hivyo na miezi ijayo.
Mfumo Kristo @ work