Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Hongera broda!! kwa kuwachana wanabodi wote walikuwapo rasmi kwenye bodi ya kuutangaza mlima kilimanjaro katika maajabu 7 ya dunia.
Kawachana mno, na kadai bodi ilikuwa inakaa kimyakimya. Wizara ya utalii kila uchao ni matatizo tu..., mara wameuza wanyama, mara kujenga hoteli mbugani, mara kunyang'anyana vitalu vya uwindaji...kila siku viroja tu. Mambo muhimu na kitu kidogo kama kuhamasisha upigaji kura kwa mlima kilimanjaro wameleta siasa. Vyombo vya habari vimejitahidi lakini maswali yanayotoka kwa raia inaonyesha kabisa wizara haikujiandaa kuutangaza.
Matokeo yake dakika ya mwisho wanaaichukua sauti ya Waziri Mkuu halafu wanaitoa eti kuhamasisha, mara kampuni za simu dakika mwisho ndo wanaachia msg free eti kuhamasisha. Whaaaaaaaat??
Wameshindwa kuwaangalia South Afrika ambao wameshinda table mountain ambayo ni sawa na kichuguu tu kwa mlima kilimanjaro, wao Tv zilienda mpaka kileleni kuutangaza, sie tumebaki na siasa tu kutuma msg mtu eti anachajiwa, radio, tv wala hazikupelekewa taarifa za kutosha,mambo mengi yameenda hovyohovyo. Table mountain ya South inapandwa kwa kamba tu wakati mlima wetu unapanda siku 6 na bado hujafika kileleni.
Poor waandaaji, Poor management, Poor Bodi....sasa wasouth wanazidi kujitangaza baada ya kitu kidogo tu kuhamasishana na mlima kichuguu chao kimeingia maajabu ya Dunia, sie tumebaki kuwindana na kuuana kwa kugombania vitalu vya uwindaji tu....Whaaaaaaaat????
Cheki chini kilimanjaro yetu inavyopendeza..!!
Kawachana mno, na kadai bodi ilikuwa inakaa kimyakimya. Wizara ya utalii kila uchao ni matatizo tu..., mara wameuza wanyama, mara kujenga hoteli mbugani, mara kunyang'anyana vitalu vya uwindaji...kila siku viroja tu. Mambo muhimu na kitu kidogo kama kuhamasisha upigaji kura kwa mlima kilimanjaro wameleta siasa. Vyombo vya habari vimejitahidi lakini maswali yanayotoka kwa raia inaonyesha kabisa wizara haikujiandaa kuutangaza.
Matokeo yake dakika ya mwisho wanaaichukua sauti ya Waziri Mkuu halafu wanaitoa eti kuhamasisha, mara kampuni za simu dakika mwisho ndo wanaachia msg free eti kuhamasisha. Whaaaaaaaat??
Wameshindwa kuwaangalia South Afrika ambao wameshinda table mountain ambayo ni sawa na kichuguu tu kwa mlima kilimanjaro, wao Tv zilienda mpaka kileleni kuutangaza, sie tumebaki na siasa tu kutuma msg mtu eti anachajiwa, radio, tv wala hazikupelekewa taarifa za kutosha,mambo mengi yameenda hovyohovyo. Table mountain ya South inapandwa kwa kamba tu wakati mlima wetu unapanda siku 6 na bado hujafika kileleni.
Poor waandaaji, Poor management, Poor Bodi....sasa wasouth wanazidi kujitangaza baada ya kitu kidogo tu kuhamasishana na mlima kichuguu chao kimeingia maajabu ya Dunia, sie tumebaki kuwindana na kuuana kwa kugombania vitalu vya uwindaji tu....Whaaaaaaaat????
Cheki chini kilimanjaro yetu inavyopendeza..!!