Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Mi nlishasema kitu cha ajabu hakihitaji kukijua kwa kura za kuibiana hela ya sms!!
Ajabu ni ajabu tu wakuu, ajabu ya kweli haihitaji mambo ya kura.
Akizaliwa mtoto hana kichwa hata msipompigia kura yoyote ni ajabu tu!!!
Labda tugeuze topic kua hatukuutangaza mlima wetu uingie kwenye mojawapo ya vivutio vikuu vya utalii!!!
Ajabu ni ajabu tu wakuu, ajabu ya kweli haihitaji mambo ya kura.
Akizaliwa mtoto hana kichwa hata msipompigia kura yoyote ni ajabu tu!!!
Labda tugeuze topic kua hatukuutangaza mlima wetu uingie kwenye mojawapo ya vivutio vikuu vya utalii!!!