bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,321
- 4,667
Yes lazima jamaa apewe kongole zake baada ya makosa mawili matatu pale mwanzoni kwa kuwaleta kina Yikpe, Sarpong, Urikhob, Juma balinya na kushindwa kutoa matokeo chanya mwamba alijipanga na kurudi na wachezaji wenye ubora Afrika.
Sio Ajabu leo timu zote za Afrika zinapiga hodi pale Yanga kutafuta sahihi za baadhi ya wachezaji hili hakika linahitaji pongezi.
Ukitoka mtandaoni ukirudi utasikia Al ahly wanamtaka Bangala mara Berkane wanamtaka Lomalisa, mara Kaizer chiefs wanamtaka Mayele, Mara Arsenal wanamtaka Bacca yani ni full utamu hili limeprove Yanga walikua bora sana.
Why not Simba au Azam, ukinitajia tetesi zozote za mchezaji wa Simba au Azam kutakiwa na timu yoyote hapa Tanzania au Afrika zaidi ya timu za Armenia tena hazijulikana hata jina ntakupa like mtoa taarifa.
Bado sijasikia habari za Diarra mdaka mishale ila ndio bado dirisha li mapema tunaweza kusikia hata kesho tetesi Man city au Burnely wanamtaka. My advice kwa injinia timu zikija na dau kubwa waachie vijana wakatafute malisho sehemu nyingine.
Soka letu bado kiuchumi halipo vizuri bado hatupo kwenye level za kupambana na timu kubwa zenye uchumu kubwa kwenye ishu ya kugombania wachezaji, bado tuna msuli mdogo.
Sio Ajabu leo timu zote za Afrika zinapiga hodi pale Yanga kutafuta sahihi za baadhi ya wachezaji hili hakika linahitaji pongezi.
Ukitoka mtandaoni ukirudi utasikia Al ahly wanamtaka Bangala mara Berkane wanamtaka Lomalisa, mara Kaizer chiefs wanamtaka Mayele, Mara Arsenal wanamtaka Bacca yani ni full utamu hili limeprove Yanga walikua bora sana.
Why not Simba au Azam, ukinitajia tetesi zozote za mchezaji wa Simba au Azam kutakiwa na timu yoyote hapa Tanzania au Afrika zaidi ya timu za Armenia tena hazijulikana hata jina ntakupa like mtoa taarifa.
Bado sijasikia habari za Diarra mdaka mishale ila ndio bado dirisha li mapema tunaweza kusikia hata kesho tetesi Man city au Burnely wanamtaka. My advice kwa injinia timu zikija na dau kubwa waachie vijana wakatafute malisho sehemu nyingine.
Soka letu bado kiuchumi halipo vizuri bado hatupo kwenye level za kupambana na timu kubwa zenye uchumu kubwa kwenye ishu ya kugombania wachezaji, bado tuna msuli mdogo.