Emashilla
Senior Member
- May 24, 2012
- 138
- 26
CCM Mpya, CCM ya zamani, CCM ya mafisadi???? CDM??? mbona unajichanganya? CCM imeoza, ccm imezeeka beyond repair hata mngeipa majina mazuri kiasi gani.............
Huo ndio ukweli.CCM imeoza kabisa
CCM Mpya, CCM ya zamani, CCM ya mafisadi???? CDM??? mbona unajichanganya? CCM imeoza, ccm imezeeka beyond repair hata mngeipa majina mazuri kiasi gani.............
Mleta mada, mbona kimahesabu ccm haijashinda kwa asilimia 95 kama unavyotaka tuamini.
Viti vilivyopigombewa ni 29. ccm imepata 23 kihesabu ni 23/29 X100= 79.3 (79.3%); hii ndiyo asilimia ya viti vyote.
Kama ccm ilikuwa inatetea viti 26 na imepata viti 23 kimahesabu imepoteza viti 3 kiasilimia itakuwa imepoteza 3/26 X100=11.53 (11.53%). Hivyo usituletee hesabu za kufikirika, na hili ni pigo kwa ccm kwani, unaponyang'anywa kiti hata kimoja jaribu kujiuliza kulikoni! Kuliko kubaki ukijisifia, wakati umepoteza, au ccm haikuvitaka hivyo viti ilivyokuwa inavikalia;na sasa imenyang'anywa??
Ushindi Mzito wa zaidi ya 95% asilimia katika chaguzi ndogo ni ishara tosha kuwa CCM Halisi imedhamiria kukijenga chama katika ngazi ya matawi na mashina na hivi karibuni mapinduzi makubwa yatafanyika katika ngazi ya Taifa.
Hongereni wana CCM wote na Wananchi wote wapenda amani na maendeleo kwa kuifanya CCM mpya kuendelea kuwa Chaguo lenu la kwanza katika kuongoza dola na kuleta maendeleo.
CCM Halisi haijutii kupoteza au kushindwa katika kata za Udiwani za Daraja Mbili Arusha, Rombo,Mtibwa kwani Mafisadi wanaopigwa vita na CCM Halisi walisimamisha watu wao kwa malengo yao binafsi ikiwa ni pamoja na kukihujumu chama kwa mfumo wa kisayansi na kukipa maujiko chama pinzani cha chadema kwani wao lao ni moja. kwa maana hiyo tunapenda kuwapa pole wananchi wote wakata hizo kwa kuingizwa katika mitego ambayo hawakuigundua mapema.
CCM mpya na halisi itafika katika kata hizo na kufumua uongozi kuanzia ngazi ya shina na tawi na kutoa elimu ya siasa na maendeleo kwa wananchi hao.
Ushindi Mzito wa zaidi ya 95% asilimia katika chaguzi ndogo ni ishara tosha kuwa CCM Halisi imedhamiria kukijenga chama katika ngazi ya matawi na mashina na hivi karibuni mapinduzi makubwa yatafanyika katika ngazi ya Taifa.
Hongereni wana CCM wote na Wananchi wote wapenda amani na maendeleo kwa kuifanya CCM mpya kuendelea kuwa Chaguo lenu la kwanza katika kuongoza dola na kuleta maendeleo.
CCM Halisi haijutii kupoteza au kushindwa katika kata za Udiwani za Daraja Mbili Arusha, Rombo,Mtibwa kwani Mafisadi wanaopigwa vita na CCM Halisi walisimamisha watu wao kwa malengo yao binafsi ikiwa ni pamoja na kukihujumu chama kwa mfumo wa kisayansi na kukipa maujiko chama pinzani cha chadema kwani wao lao ni moja. kwa maana hiyo tunapenda kuwapa pole wananchi wote wakata hizo kwa kuingizwa katika mitego ambayo hawakuigundua mapema.
CCM mpya na halisi itafika katika kata hizo na kufumua uongozi kuanzia ngazi ya shina na tawi na kutoa elimu ya siasa na maendeleo kwa wananchi hao.