Honeymoon

Edmund

Senior Member
Jul 17, 2009
123
62
Nataka kujua SIFA za watoto wote wa kiume na kike ambao mimba zao zinatungwa wakati wazazi wao wakiwa kwenye Fungate la NDOA yaani (HONEYMOON), nipo kwenye ka UTAFITI kidogo nadhani Machi 2012 nitaleta matokeo hapa bila kuchakachua kitu.

Nawasilisha.
 
Nataka kujua SIFA za watoto wote wa kiume na kike ambao mimba zao zinatungwa wakati wazazi wao wakiwa kwenye Fungate la NDOA yaani (HONEYMOON), nipo kwenye ka UTAFITI kidogo nadhani Machi 2012 nitaleta matokeo hapa bila kuchakachua kitu.

Nawasilisha.

Nafikiri matokeo hayataweza kuelezea unachokitaka kwani honeymoon is just a holiday and has nothing to do with influencers of someone's ability and behaviour.

Wenzako waliwahi kuangalia tofauti kati ya watoto wanaozaliwa ndani ya miezi saba na tisa wakiwa watu wazima. Malezi ya mzazi mmoja na wote wawili. wale wanaolelewa na walezi. nje ya ndoa.
 
Nafikiri matokeo hayataweza kuelezea unachokitaka kwani honeymoon is just a holiday and has nothing to do with influencers of someone's ability and behaviour.

Wenzako waliwahi kuangalia tofauti kati ya watoto wanaozaliwa ndani ya miezi saba na tisa wakiwa watu wazima. Malezi ya mzazi mmoja na wote wawili. wale wanaolelewa na walezi. nje ya ndoa.
Hiyo ni "title" yangu na hiyo ya miezi saba na tisa ni "title" nyingine na ni watu wawili tofauti acha tu niendelee na ka Utafiti kangu huo ni utafiti wa mambo ya kijamii tu.
 
Tusubiri waliopata hizo mimba kwenye fungate mie nilipata baada ya mwaka..sikua na haraka nayo.
 
Nataka kujua SIFA za watoto wote wa kiume na kike ambao mimba zao zinatungwa wakati wazazi wao wakiwa kwenye Fungate la NDOA yaani (HONEYMOON), nipo kwenye ka UTAFITI kidogo nadhani Machi 2012 nitaleta matokeo hapa bila kuchakachua kitu.

Nawasilisha.

Mkuu mbona hiyo ni ngumu sana! Ngoja wenye watoto waje kutupa maexperience.
 
Hii kali....lakini mie nadhani tabia za watoto waliozaliwa kipindi hiki zitakuwa zatofautiana kwani honeymoon inaweza kuwa kuanzia jan-dec...mimba ikatungwa asubuhi,mchana,usiku au alfajiri...
Pia eneo ilipofanyikia honeymoon...inaweza kuwa nje ya nchi nk....
 
jinsi watu wanavyoanza kufanya mapenzi wakiwa wadogo zimepelekea HONEY kuisha na kubaki MOON tu. Nalog off
 
Hii kali....lakini mie nadhani tabia za watoto waliozaliwa kipindi hiki zitakuwa zatofautiana kwani honeymoon inaweza kuwa kuanzia jan-dec...mimba ikatungwa asubuhi,mchana,usiku au alfajiri...
Pia eneo ilipofanyikia honeymoon...inaweza kuwa nje ya nchi nk....
nashukuru kwa kuniongezea "methodology" mpya za kufanya hako kautafiti kangu kwa kuzingatia WAKATI wa siku, MWEZI, NDANI AU NJE ya nchi nitawaweka kulingana na makundi hayo pia.
 
Back
Top Bottom