mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,053
- 4,825
Kuna mengi mno yakujiuliza mkuu how mens rea was proved beyond reasonable doughtIlikuwa ni batili hata kuwaza tu kuwa wako hatiani(Void ab initial). Waliingiaje hatiani kwa kutembea kwenda ofisi ya mkurugenzi kudai viapo vya mawakala wao? Mkurugenzi angetimiza wajibu wake haya yangetokea? Nilikuwa napenda sana kusoma hukumu za kina jaji Luanda, Augustino Ramadhani nk lakini siku hizi hata sijui mahakama za chini zitakuwa zinatoa hukumu kwa presidencies zipi. In short our judiciary system has corrupted.
Sawa actus reus ipo
Sent using Jamii Forums mobile app