Aliyekuwa Mkurugenzi Igunga aendelea kusota Mahabusu Sakata la Utakatishaji Fedha

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kigoma imewaachia huru kwa masharti ya dhamana washtakiwa wa tano kati ya 11 waliokuwa wameshtakiwa kwa makosa 11 likiwemo la utakatishaji fedha Sh463.5 milioni, huku Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Igunga, Athumani Msabila na wenzake watano wakiendelea kusota mahabusu.

Katika kesi namba 3 ya mwaka 2023 iliyofikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Novemba 7, 2023 na washtakiwa kusomewa mashtaka hayo yakiwemo kula njama kwa nia ya kutenda kosa, kugushi nyaraka, matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara ya Sh463.5 ambapo hawakutakiwa kujibu chochote.

Akisoma uamuzi huo leo Jumatatu Novemba 20, 2023; Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma, Hassan Momba amesema Mahakama imejiridhisha kuwa, mashtaka walionayo hayana pingamizi kisheria kupata dhamana.

Walioachiwa huru kwa dhamana ni mshtakiwa namba saba, Joel Shirima, Jema Mbilinyi mshtakiwa namba nane, Kombe Kabichi mshtakiwa namba tisa, Frank Nguvumali mshtakiwa namba 10 wote kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji na Bayaga Ntamasambilo mstakiwa namba 11 kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kigoma imewaachia huru kwa masharti ya dhamana washtakiwa wa tano kati ya 11 waliokuwa wameshtakiwa kwa makosa 11 likiwemo la utakatishaji fedha Sh463.5 milioni, huku Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Igunga, Athumani Msabila na wenzake watano wakiendelea kusota mahabusu...
WALIOPIGA MIZIGO MIKUBWA KTK REPORT YA CAG WAPO HURU WANAENDELEA KUPIGA TENA NA TUTAENDELEA KUWAONA TENA KATIKA REPORT IJAYO CCM OYEE
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kigoma imewaachia huru kwa masharti ya dhamana washtakiwa wa tano kati ya 11 waliokuwa wameshtakiwa kwa makosa 11 likiwemo la utakatishaji fedha Sh463.5 milioni, huku Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Igunga, Athumani Msabila na wenzake watano wakiendelea kusota mahabusu.

Katika kesi namba 3 ya mwaka 2023 iliyofikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Novemba 7, 2023 na washtakiwa kusomewa mashtaka hayo yakiwemo kula njama kwa nia ya kutenda kosa, kugushi nyaraka, matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara ya Sh463.5 ambapo hawakutakiwa kujibu chochote.

Akisoma uamuzi huo leo Jumatatu Novemba 20, 2023; Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma, Hassan Momba amesema Mahakama imejiridhisha kuwa, mashtaka walionayo hayana pingamizi kisheria kupata dhamana.

Walioachiwa huru kwa dhamana ni mshtakiwa namba saba, Joel Shirima, Jema Mbilinyi mshtakiwa namba nane, Kombe Kabichi mshtakiwa namba tisa, Frank Nguvumali mshtakiwa namba 10 wote kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji na Bayaga Ntamasambilo mstakiwa namba 11 kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.
Dah...
Masikini.. maumivu kwa familia zao.

Painful.
 
1700552887379.png

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kigoma imewaachia huru kwa masharti ya dhamana washtakiwa wa tano kati ya 11 waliokuwa wameshtakiwa kwa makosa 11 likiwemo la utakatishaji fedha Sh463.5 milioni, huku Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Igunga, Athumani Msabila na wenzake watano wakiendelea kusota mahabusu.

Katika kesi namba 3 ya mwaka 2023 iliyofikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Novemba 7, 2023 na washtakiwa kusomewa mashtaka hayo yakiwemo kula njama kwa nia ya kutenda kosa, kugushi nyaraka, matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara ya Sh463.5 ambapo hawakutakiwa kujibu chochote.

Akisoma uamuzi huo leo Jumatatu Novemba 20, 2023; Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma, Hassan Momba amesema Mahakama imejiridhisha kuwa, mashtaka walionayo hayana pingamizi kisheria kupata dhamana.

Walioachiwa huru kwa dhamana ni mshtakiwa namba saba, Joel Shirima, Jema Mbilinyi mshtakiwa namba nane, Kombe Kabichi mshtakiwa namba tisa, Frank Nguvumali mshtakiwa namba 10 wote kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji na Bayaga Ntamasambilo mstakiwa namba 11 kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.
 
Back
Top Bottom