Home wife vs job wife

Hakuna mtu anayeitwa Mama wa nyumbani, bali ni wewe tu kama utapenda iwe hivyo. Baada ya kuoana unatakiwa kumwanzishia kitu asimamie na kujishughulisha, mfungulie hata Genge ili aone machungu na ugumu wa kutafuta pesa. Kosa ambalo watu wanafanya pale anapoa na kushika hatamu zote za utafutaji wa pesa katika familia, wakati mother house akibaki ktumia tu!!! Kwa maana hiyo hajui machungu ya utafutaji wa pesa, kwamba kuna siku unakosa na kuna siku unapata. Hata kama una ajira ya kudumu, kuna siku mshahara unachlewa, ukiupata unaishia tarehe 15. Ukweli ni kwamba kama mmoja wa familia ndiye mtafutaji mkuu, mwenzake anakuwa hajui ugumu wa kupata hiyo pesa- taa za umeme zinawaka mpaka saa 4 asubuhi, maji ya bomba kama yako ndani yakifunguliwa hayafungwi, chakula kitapikwa zaidi ya walaji ili wajirani waone kuwa tunazo.

Kweli kiongozi...

Lakini naona kama tumetoka nje ya mada. Mwanzisha thread anazungumzia kazi za "maofisini" nadhani akimaanisha kazi za kuajiriwa na kutegemea mshahara wa "mkoloni"
 
Being a wife.
Being a career woman,
Being a mother,

ningetamani mume wangu aniwekee insurance, niache kazi ya kuajiriwa, niwe na investment ambayo itachukua less than 4 hrs a day, nitunze watoto wangu, sasa hivi housegirls sio reliable, nawamiss sana watoto, I feel also guilty kuwaacha watoto wanalelewa na mtu siku nzima.
kaka bora uoe mke umtafutie part time, ila uwe na hela nyingi ili umtunze,
siku hizi kutunza mke ni expensive sana.
 
If I could I would have prefered to be a house wife esp watoto wakiwa wadogo its just that majukumu yamekuwa mengi sana siku hizi kipato kimoja cha kawaida will not cut it kabisa.

So kama una uwezo wa kusupport familia yako kawa kipato chako let your wife stay home and take care of the kids, miaka yao ya mwanzo ni muhimu sana this is when wanajifunza mambo muhimu sana katika maisha binadamu. na maamuzi haya yasifanyike kibabe mkae muelezana na kukubaliana.
 
Cha msingi ni upendo wa dhati ktk mapenzi yenu, mke awe mwajiriwa au aliyejiajiri (hata kama ni kuunga mchuzi kwa ajili ya familia)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom