Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
- Thread starter
- #41
@ Sansiro Meazza...
Milan 4-0 Parma.
1. Cassano
2. Seedorf
3. Robinho
4. Robinho
Milan 4-0 Parma.
1. Cassano
2. Seedorf
3. Robinho
4. Robinho
Mkuu Gang Chomba salama lakini?
Jumanne vipi hapo kwa spurs? Lol
hawa wazee wamezeeka mpaka akili,Gattusso kaishia kuadhirika:sick:
Ndugu yangu ishu ni kuwa tutatumia uzoefu wetu kuwafunga.
Ushekhe yahya ni kipaji mkuu:clap2::clap2::clap2:
Dah na watawafanya vibaya white harts lane,kimbiza mbaya panda shuka.........:first:
Mpira ungekuwa ni kukimbia basi Jaluo toka Kenya wangekuwa mastaa ulaya...
Mpira Mipango kaka