mara ya mwisho wao kubeba champions league ilikuwa ni 2007.
Kuna timu kama Madrid mara ya mwisho ni 2002, Bayern 2001, arsenal na chelsea ndio ushuzi mtupu.
Je ni timu ipi kati ya hizo iko ndembe ndembe?
Siku nyingine ubakize na maneno ya akiba na si kukurupuka tu
hongera na umwambie kuwa hyo timu yake anayoshangilia haina historia kama Ac Milan
Umemsaidia sana kwa kumjuza hilo, japo inapitia kipindi kigumu lakini imo.mara ya mwisho wao kubeba champions league ilikuwa ni 2007.
Kuna timu kama Madrid mara ya mwisho ni 2002, Bayern 2001, arsenal na chelsea ndio ushuzi mtupu.
Je ni timu ipi kati ya hizo iko ndembe ndembe?
Siku nyingine ubakize na maneno ya akiba na si kukurupuka tu
mara ya mwisho wao kubeba champions league ilikuwa ni 2007.
Kuna timu kama Madrid mara ya mwisho ni 2002, Bayern 2001, arsenal na chelsea ndio ushuzi mtupu.
Je ni timu ipi kati ya hizo iko ndembe ndembe?
Siku nyingine ubakize na maneno ya akiba na si kukurupuka tu
Ahaaa ahaaaaa.Maneno makali sana mkuu tarehe 28/05/2011 nakualika wembley ushuhudie mashetani wekundu wakifanya vitu vyao si vibaya ukawa mshabiki wetu siku hiyo unajua hata mashabiki wanaazimwa kwa mkopo.
Yabanike tu maini yako yakidhurika ni gonjwa sugu na tiba yake ipo Loliondo kwa Babu.
Thiago Silva,Alesandro Nesta,Mark Von Bommel,Boateng na Pato wamesaidia sana kupatikana kwa ubingwa
FORZA MILAN
Klabu ya AC Milan imetwaa ubingwa wa ligi ya italia maarufu kama scudeto baada ya kupata suluhu ktk mechi dhidi ya AS Roma iliyopigwa katika dimba la Olimpico mjini Rome.
Na Ibrahim(Zlatan) pia.
Ana bahati kwa vile kila timu anayokwenda inatwaa ubingwa.Yes but huyu jamaa simpendi kabisa na mara nyingi timu anazokwenda anachemsha hususani kwenye big games.Kama unakumbuka alianza ligi vizuri baadae akashuka na kuna game 2 alipewa red card akafungiwa mechi 6 lakini Milan walifanikiwa kuziba pengo lake
Still bado inabidi kujenga timu ya kuwania Champions League
Hongera, huku yanga kule Milan, japo huku mliokota baada ya sisi kudondosha, lakini ubingwa ni ubingwa tu! Cha kuokota si cha kuiba.