Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,330
Kuna umuhimu wa kuhakikisha kwamba Katiba Mpya inapatikana kabla ya Uchaguzi wowote ule , hata kama kutakuwa na gharama nyemelezi .
Ujumbe wake huu hapa
Ujumbe wake huu hapa
Chadema inataka Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
Chadema hamueleweki mmesimamia wapi
Nendeni TEC mkajifunze
CCM hawataki vyote hivyoChadema inataka Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
Lipumba yeye amesemaje?😂😂😂
Chadema hamueleweki mmesimamia wapi
Nendeni TEC mkajifunze
Lini?Chadema inataka Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
soma uzi ueleweLini?
Naunga mkono HOJA 🙏🙏Kuna umuhimu wa kuhakikisha kwamba Katiba Mpya inapatikana kabla ya Uchaguzi wowote ule , hata kama kutakuwa na gharama nyemelezi .
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2725250
HakikaNaunga mkono HOJA
Nimekuwa nikisema kitambo sasa humu kuwa, Kuna hatihati uchaguzi kuyeyuka.
Ni kheri kusogeza mbele uchaguzi tupate tume HURU na KATIBA mpya kuliko KURUDIA Yale ya 2020!!
Siasa ni sayansi, na sayansi ni HESABU!!
Issue kubwa hapo ni madarakaKuna umuhimu wa kuhakikisha kwamba Katiba Mpya inapatikana kabla ya Uchaguzi wowote ule , hata kama kutakuwa na gharama nyemelezi .
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2725250
Ili na wao wakalambe keki ya taifa sioChadema inataka Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
Ushahidi kidogo mkuuIli na wao wakalambe keki ya taifa sio
KATIBA MPYA NA TUME HURU ..
Chadema hamueleweki mmesimamia wapi
Nendeni TEC mkajifunze
Hapa ndipo mvua itakapoanza kuwanyeshea kama hamtakuwa makini sana.Chadema inataka Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi
Kwani hilo ni tatizo?Issue kubwa hapo ni madaraka
Mungu Ibariki CHADEMAKuna umuhimu wa kuhakikisha kwamba Katiba Mpya inapatikana kabla ya Uchaguzi wowote ule , hata kama kutakuwa na gharama nyemelezi .
Ujumbe wake huu hapa
View attachment 2725250
Mwezi mchanga
Chadema hamueleweki mmesimamia wapi
Nendeni TEC mkajifunze