Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
Bravoo Tundu Lissu!
Kwa hiyo kinachokuuma ni Lisu kupongezwa hapa JF au? Tatizo ni kuwa nyie wanaccm hoja zenu huwa ni kuchangia kwa unafiki ndo maana sasa hivi watu hawaamini sana. Mimi nawapongeza wote Lisu na ndugulile.
Hapo kwenye red: Kama Lissu hakutoa ufafanuzi muswada ungepita?
Kwani cuf na ccm huko kwenu ni vyama tofauti?Haya ndio yamekua maajabu! Mbona kwa huku Zanzibar mambo haya kawaida tu, huku hatuangalii hoja imeletwa na nani wala Chama gani bali tunaangalia ina maslahi gani.
summarize ndugu acha copy and paste
Nani mwana CCM wewe? Futa kauli yako, wengine hatuna vyama. Nilichoandika hapo ndiyo sahihi wala si kuumwa kwa kupongezwa Lissu. Yeye alipomaliza hotuba yake naibu spika aliendelea na utaratibu wa watu kuchangia kama kawaida. Ndugulile alikuwa mchangiaji wa kwanza. Ndiye aliyetibua mambo. Wewe unaona raha mtu kupewa sifa ambayo hakustahili. Alichofanya Lissu ni kumkumbusha tu spika kuhusu vifungu vya kanuni. Muwe mnafuatilia mambo kwa makini na kuandika kwa uhalisia.
Lissu ni mtambo tukubali tu jamani au?
Heshimu kukinzana kwa maoni, usiyabinafsishe hayatatoa taswira yako sahihi. Kumbuka Beuaty is in teh eyes of the beholder. Tukubali kutofautiana tunapotazana na kusikia kitu. MIMI NAONA WOTE MKO SAWA kulingana na mitazamo yenu.