Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Ndugu wanajamii,
Kumekuwa na upotoshaji wa "Kijinga na wa kupumbaza wasio na elimu" kuwa Marando Mwanasheria wa CHADEMA anatetea Mafisadi baada ya kumtetea Prof Mahalu. Hoja yangu ni kuwa, hao "MAFISADI" walioshitakiwa, wasioshitakiwa na wale wangine wanaotesa inajulikana kuwa ni WANACHAMA WA MAGAMBA (CCM).
Kipi ni kibaya nchi hii, kumtetea anayesadikiwa kuwa ni fisadi au KUMMILIKI FISADI?
Kumekuwa na upotoshaji wa "Kijinga na wa kupumbaza wasio na elimu" kuwa Marando Mwanasheria wa CHADEMA anatetea Mafisadi baada ya kumtetea Prof Mahalu. Hoja yangu ni kuwa, hao "MAFISADI" walioshitakiwa, wasioshitakiwa na wale wangine wanaotesa inajulikana kuwa ni WANACHAMA WA MAGAMBA (CCM).
Kipi ni kibaya nchi hii, kumtetea anayesadikiwa kuwa ni fisadi au KUMMILIKI FISADI?