Hofu ya kufilisika yamtanda Lowassa, adaiwa kushindwa kulipia kodi ya Pango PPF Tower

Duh..mimi sio shabiki hata kidogo wa lowasa ila kuna kitu hakileti sense hapa..hiyo Alpha Dry Cleaners wanauza mashine za kufulia au wanafua nguo tu?. Mana kama ni nguo tu wanafua halafu mzee Lowasa anategemea kipato chake huko basi labda hua wanafua nguo za mkoa mzima na mashuka ya kila hospital huku tz
Hujui ni tenda ngapi hiyo kampuni ilikuwa inapata...kwa ufupi ni kampuni ambayo turn over yake kwa mwaka ni mabilioni...Kodi inalipa kwa dola na imechukua pango ambalo kwa mita ya mraba moja inagharimu $ 18 na ofisi yao n
 
Yote tisa kumi Dr Shein kila siku anasisitiza yeye ni Rais halali wa Zanzibar, cha kushangaza mtu halali una ulazima gani wa kujipigia upatu? lets say wewe una ulazima wa kupayuka kwamba wewe ni mwanaume ilhali inajulikana hivyo? ukipayuka maana yake una dosari na huamini kama wanaokutazama wanakuchukulia wewe ni mwanaume, maana unajihisi kama Mkorea tu mwanaume humjui na mwanamke humjui.
Ana kila sababu ya kusema hivyo kwa kuwa kuna Nyumbu (Maalim Seif na genge lake) wanaongea uongo kuhusu wadhifa wa urais wa Dkt Shein. Hivyo sioni kama kuna tatizo kwa yeye kutoa ufafanuzi kwa wananchi wake.
 
Na Mimi Kabla Sijakujibu Naomba Unijibu Hivi Lowassa Ni Waziri Mkuu Aliyefurumushwa au Waziri Mkuu Aliyestaafu au Waziri Mkuu Aliyejiuzuru?
Tanzanian PM to resign over graft
_44410170_palowassa203.jpg

Mr Lowassa told MPs his decision had not been an easy one
Tanzania's Prime Minister Edward Lowassa has tendered his resignation after being implicated in an energy deal corruption scandal.
He has denied that his office was involved in improperly awarding a contract to US-based electricity company Richmond Development in 2006.

The firm failed to provide emergency power during a power crisis in 2006.

Following Mr Lowassa's announcement to parliament, two other ministers linked to the scandal resigned.

The BBC's Africa analyst Mary Harper says the offer of resignation from such a senior member of government for alleged links with corruption is unprecedented in Tanzania, and unusual in Africa.

But Tanzania has been getting more serious about corruption since President Jakaya Kikwete was elected in 2005.
 
4U MOVEMENT vijana wanakufa njaa mitaani, wanatelekeza familia zao kodi za pango matokeo wake/ wapenzi/ wazazi wenzio wako kwenye wakati mgumu!
 
WanaJF,

Wanasema waswahili kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Huu msemo umejidhihirisha kwa Lowassa ambae amekuwa akitajwa kuwa ni moja ya watu matajiri Tanzania.

Utajiri huo wa Lowassa ambao wengi wanaamini ni wa magendo na dili za kuibia wananchi wa Tanzania, umeanza kupata mabalaa na kuhofiwa kupotea kabisa kabla ya sherehe za pasaka!

Wengi mnafahamu kuwa kampuni ya Alpha Dry Cleaners inamilikiwa na Lowassa na moja ya ofisi zao ipo PPF Tower kwenye basement. Kampuni hii ndio imekuwa chanzo kikuu cha mapato kwa Lowassa tangu atimuliwe kwenye nafasi ya uwaziri mkuu kwa kashfa ya ufisadi wa RICHMOND.

Taarifa zinasema kampuni hiyo ambayo sasa ndio uti wa mgongo wa Lowassa, imeanza kushindwa kujiendesha; Kwanza wafanyakazi wake hawajapata mshahara kwa miezi miwili hadi sasa na pili, kodi ya pango ambayo ilikwisha mwezi novemba, hadi leo haijalipwa kinyume kabisa na mkataba wa upangishaji. Hali hii imepelekea kampuni hiyo kupewa notisi ya siku 30 kufunga virago na kutoka kwenye jengo la PPF.

Aidha, taarifa zinasema kuwa mtikisiko huo wa biashara hiyo ya Lowassa, pamoja na mambo mengine, umetokana na kuchotwa kwa pesa nyingi ya kampuni hiyo na kutumika kwenye kugharamia uchaguzi wa urais...Maamuzi ambayo wafanyakazi wa kampuni na wadau wengine wanaamini yamehatarisha uhai wa kampuni hiyo kongwe inayojihusisha na ufuaji hapa nchini.

My take,

Kwanza nianze kwa kumpa pole mzee Lowassa kwa matatizo, lakini pia niseme: Huu ndio wakati wa kupima urafiki wa Mbowe na Lowassa. Natarajia kuona Mbowe anatumia sehemu ya lile fungu alilotorosha Uswizi na China (Pesa ya kuuza chama) kumsaidia Lowassa kulipa kodi ya pango na malimbikizo yote kwa maana notisi imetolea ya siku 30 tu.
Hivi unafahamu kuwa hadi sasa wabunge hawajalipwa mishahara sembuse wafuaji wa nguo?
 
Yaani katika wajinga na cheap thinkers bas wewe ni kondoo mamba Moja, lowasa anategemea dry cleaner? Hata kukujibu naona kichefu chef, kama hukuishia darasa la tatu sijui NA utakua mswahili mcheza ngoma wa msoga ww
Nawe pia hujajibu, ungeainisha ili tukulinganishe na huyo unayesema hakwenda shule. Kwa kuwa kimya na kupiga kelele inaonyesha wote mpo sawa.
 
Tanzanian PM to resign over graft
_44410170_palowassa203.jpg

Mr Lowassa told MPs his decision had not been an easy one
Tanzania's Prime Minister Edward Lowassa has tendered his resignation after being implicated in an energy deal corruption scandal.
He has denied that his office was involved in improperly awarding a contract to US-based electricity company Richmond Development in 2006.

The firm failed to provide emergency power during a power crisis in 2006.

Following Mr Lowassa's announcement to parliament, two other ministers linked to the scandal resigned.

The BBC's Africa analyst Mary Harper says the offer of resignation from such a senior member of government for alleged links with corruption is unprecedented in Tanzania, and unusual in Africa.

But Tanzania has been getting more serious about corruption since President Jakaya Kikwete was elected in 2005.
Kama ulimsikia Mwakyembe kwenye ripoti ya Richmond na pia Ba rizmoko siku anafunga kampeni za sisiemu Mwanza, ripoti na pia mkwere alisema jamaa alipewa options ya ku-resign au kuwa FIRED!
Kwa hiyo ukiiangalia kiundani bila ushabiki, LOWASSA WAS FIRED indirectly, angebisha then he would have triggered him being FIRED directly!
Kuwa FIRED INDIRECTLY, kimpunguzia aibu kwa watu kama wewe wanaodhani ali-resign voluntarily!
 
Cijawahi kumpenda lowasa hasa anaponyamaza kimya hatupi majibu ya richmond anatwambia twende mahakamani kwani akijibu kama mkwele alivyojibu pale mwanza tujue ila anyway kwa hili umemuonea kwani ye ndo wa kwanza kufilisika
 
4U MOVEMENT vijana wanakufa njaa mitaani, wanatelekeza familia zao kodi za pango matokeo wake/ wapenzi/ wazazi wenzio wako kwenye wakati mgumu!
Na wale nimeshtuka wanazidi kuumbuka na magari ya kuazima wamenyang'anywa na sasa ni aibu tupu mjini hata pesa ya pango ya nyumba ni mgogoro, mfano hai Wema Sepetu.
 
Mnaomtetea Lowasa na mnaomsema vibaya wote mnakosea
Maswala ya ufisad Yapo kisheria tusubiri mahakama iundwe tujue ukweli tupunguze shobo
 
Cijawahi kumpenda lowasa hasa anaponyamaza kimya hatupi majibu ya richmond anatwambia twende mahakamani kwani akijibu kama mkwele alivyojibu pale mwanza tujue ila anyway kwa hili umemuonea kwani ye ndo wa kwanza kufilisika
Ni lini na wapi Lowasa alitaka umpende, hivi kwa akili yako mtu wa Arusha unataka kumlinganisha tabia na Mzaramo/mkwele? kupayuka na porojo hizo ni tabia za waswahili wa pwani na siyo Lowasa.

JK he is acriminal ni lazima ajidefend.
 
Yaani katika wajinga na cheap thinkers bas wewe ni kondoo mamba Moja, lowasa anategemea dry cleaner? Hata kukujibu naona kichefu chef, kama hukuishia darasa la tatu sijui NA utakua mswahili mcheza ngoma wa msoga ww
Si tu mswahili bali ni mswahili wa Msoga
 
WanaJF,

Wanasema waswahili kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Huu msemo umejidhihirisha kwa Lowassa ambae amekuwa akitajwa kuwa ni moja ya watu matajiri Tanzania.

Utajiri huo wa Lowassa ambao wengi wanaamini ni wa magendo na dili za kuibia wananchi wa Tanzania, umeanza kupata mabalaa na kuhofiwa kupotea kabisa kabla ya sherehe za pasaka!

Wengi mnafahamu kuwa kampuni ya Alpha Dry Cleaners inamilikiwa na Lowassa na moja ya ofisi zao ipo PPF Tower kwenye basement. Kampuni hii ndio imekuwa chanzo kikuu cha mapato kwa Lowassa tangu atimuliwe kwenye nafasi ya uwaziri mkuu kwa kashfa ya ufisadi wa RICHMOND.

Taarifa zinasema kampuni hiyo ambayo sasa ndio uti wa mgongo wa Lowassa, imeanza kushindwa kujiendesha; Kwanza wafanyakazi wake hawajapata mshahara kwa miezi miwili hadi sasa na pili, kodi ya pango ambayo ilikwisha mwezi novemba, hadi leo haijalipwa kinyume kabisa na mkataba wa upangishaji. Hali hii imepelekea kampuni hiyo kupewa notisi ya siku 30 kufunga virago na kutoka kwenye jengo la PPF.

Aidha, taarifa zinasema kuwa mtikisiko huo wa biashara hiyo ya Lowassa, pamoja na mambo mengine, umetokana na kuchotwa kwa pesa nyingi ya kampuni hiyo na kutumika kwenye kugharamia uchaguzi wa urais...Maamuzi ambayo wafanyakazi wa kampuni na wadau wengine wanaamini yamehatarisha uhai wa kampuni hiyo kongwe inayojihusisha na ufuaji hapa nchini.

My take,

Kwanza nianze kwa kumpa pole mzee Lowassa kwa matatizo, lakini pia niseme: Huu ndio wakati wa kupima urafiki wa Mbowe na Lowassa. Natarajia kuona Mbowe anatumia sehemu ya lile fungu alilotorosha Uswizi na China (Pesa ya kuuza chama) kumsaidia Lowassa kulipa kodi ya pango na malimbikizo yote kwa maana notisi imetolea ya siku 30 tu.
Kama hii ni kweli, na wale marafiki zake wameshindwa kumsaidia, basi atakuwa amejisafisha kabisa na suala la ufisadi. Lakini musisahau kuwa ni hodari wa maigizo. Hapa anaweza kuwa anaigiza tu kufilisika!
 
Masikini anapoomba Tajiri afilisike ili wote wawe masikini....ni hatari sana.naona hujui vyanzo vya mapato vya Mh....kaa kimya.

"Hapa kazi Tu....kama huna kazi ya kufanya isome namba,,,,,siyo kumuombea Mh. Lowasa huo upuuzi wako.
Yani huyu jamaaa ni zaidi ya Zuzu nafikir atakua masikini wa kutupa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom