Wabunge gan wenye mkwara ktk bunge la nchi moja?Yajayo yanafurahisha
Bunge la nchi moja=bunge la chama kimoja sio bunge la kuhoji hiliWabunge gan wenye mkwara ktk bunge la nchi moja?
Ndo kawaida hata Escrow ilijadiliwa Mwishoni mwa November 2014.Spika wa kijinga. Kwanini wasikitimue?. Kilijifanya kijuaji eti ufisadi ujadiliwe mwezi wa kumi na mbili. Mjinga kweli.
Escrow iliibuliwa na Kafulila aka TumbiriNdo kawaida hata Escrow ilijadiliwa Mwishoni mwa November 2014.
Hamna Wabunge pale, tuache unafiki tuseme kweliMikwala ya wabunge
USSR
Huyu Naye remote Ipo msoga. Ulikuwa upuuzi WA Hali ya Juu kupitisha bajeti nyingine wakati iliyopita pesa zote zimeliwaSpika anakataliwa kila kona kisa kugomea report ya CAG kujadiliwa katika vikao vya bajeti vinavyoendelea sasa na kusema watajadili mwezi November leo asubuhi amebadili gia angani na kurejesha heshima la bunge na kuamua wabunge wajadili report ya CAG katika vikao vinachoendelea vya bajeti.
Hapo awali kulikuwa na malumbano katika kona za bungeni kuhusu wizi mkubwa kwenye report ya CAG kubwa hakuna ufisadi uliwahi kufanyika kwa kiwango huki cha trilioni 3.6 tangu nchi hii imepata uhuru.
USSR
View attachment 2594930
Naona tuseme: " Spika msikivu, CCM hailei ufisadi na Mhe. Rais Samia kuendeleza moto vita ya ufisadi aliourithi kutoka kwa mtangulizi wake". Ndiyo maana alimuacha CAG akague kila shilingi ili aone panapovuja. Tukikosoa kwa hoja au kushauri na mamlaka za dola zikisikia ni ushindi kwa taifa zima ukiwemo wewe, yule na mimi. Tuwape moyo viongozi wetu.🙏🙏🙏Spika anakataliwa kila kona kisa kugomea report ya CAG kujadiliwa katika vikao vya bajeti vinavyoendelea sasa na kusema watajadili mwezi November leo asubuhi amebadili gia angani na kurejesha heshima la bunge na kuamua wabunge wajadili report ya CAG katika vikao vinachoendelea vya bajeti.
Hapo awali kulikuwa na malumbano katika kona za bungeni kuhusu wizi mkubwa kwenye report ya CAG kubwa hakuna ufisadi uliwahi kufanyika kwa kiwango huki cha trilioni 3.6 tangu nchi hii imepata uhuru.
USSR
View attachment 2594930
Sasa all is well ? Hadhi imepanda ?Nilikuwa namshusha hadhi huyu mwalimu wangu.
Ni wazi kabisa wananchi tunataka majibu ya wizi wa fedha za uma.
Bunge ni sehemu muafaka ya kupatiwa majibu yetu.
Sisi wananchi tunawataka wawakilishi wetu kuhakikisha hayo majizi yanachukuliwa hatua na serikali na matokeo yake tunayaona.
Pamoja na kuruhusu bado ameshapoteza diraSpika anakataliwa kila kona kisa kugomea report ya CAG kujadiliwa katika vikao vya bajeti vinavyoendelea sasa na kusema watajadili mwezi November leo asubuhi amebadili gia angani na kurejesha heshima la bunge na kuamua wabunge wajadili report ya CAG katika vikao vinachoendelea vya bajeti.
Hapo awali kulikuwa na malumbano katika kona za bungeni kuhusu wizi mkubwa kwenye report ya CAG kubwa hakuna ufisadi uliwahi kufanyika kwa kiwango huki cha trilioni 3.6 tangu nchi hii imepata uhuru.
USSR
View attachment 2594930
we kura yako ni moja tu after all km ni mpiga kura wake, usimtishie nyau.AMEONA KUWA WALAU AACHE HESHIMA KIDOGO MANA ANAJUA KUWA HATORUDI TENA BUNGENI 2025
ILA SHE’S TOO LATE
Spika anakataliwa kila kona kisa kugomea report ya CAG kujadiliwa katika vikao vya bajeti vinavyoendelea sasa na kusema watajadili mwezi November leo asubuhi amebadili gia angani na kurejesha heshima la bunge na kuamua wabunge wajadili report ya CAG katika vikao vinachoendelea vya bajeti.
Hapo awali kulikuwa na malumbano katika kona za bungeni kuhusu wizi mkubwa kwenye report ya CAG kubwa hakuna ufisadi uliwahi kufanyika kwa kiwango huki cha trilioni 3.6 tangu nchi hii imepata uhuru.
USSR
View attachment 2594930
we kura yako ni moja tu after all km ni mpiga kura wake, usimtishie nyau.
Lakini tulisikia kwamba ni kwa mujibu wa kanuni zao walizojitungia kuwa watajadili novemba.Spika anakataliwa kila kona kisa kugomea report ya CAG kujadiliwa katika vikao vya bajeti vinavyoendelea sasa na kusema watajadili mwezi November leo asubuhi amebadili gia angani na kurejesha heshima la bunge na kuamua wabunge wajadili report ya CAG katika vikao vinachoendelea vya bajeti.
Hapo awali kulikuwa na malumbano katika kona za bungeni kuhusu wizi mkubwa kwenye report ya CAG kubwa hakuna ufisadi uliwahi kufanyika kwa kiwango huki cha trilioni 3.6 tangu nchi hii imepata uhuru.
USSR
View attachment 2594930
Hao The Green Mamba team wasanii tu,hapo ukute Wabunge waliitwa kwenye Party Caucus wakapigwa mkwara.Kwaiyo watajadili juujuu tu then mambo kabatini!Spika anakataliwa kila kona kisa kugomea report ya CAG kujadiliwa katika vikao vya bajeti vinavyoendelea sasa na kusema watajadili mwezi November leo asubuhi amebadili gia angani na kurejesha heshima la bunge na kuamua wabunge wajadili report ya CAG katika vikao vinachoendelea vya bajeti.
Hapo awali kulikuwa na malumbano katika kona za bungeni kuhusu wizi mkubwa kwenye report ya CAG kubwa hakuna ufisadi uliwahi kufanyika kwa kiwango huki cha trilioni 3.6 tangu nchi hii imepata uhuru.
USSR
View attachment 2594930
Una expect kweli wabunge wa CCM watajadili na kuchukua hatua? PAC yenyewe inaongozwa na CCM unatarajia watachukua hatua Gani zaidi ya kutoa onyo tu!! Hakuna waziri atajiuzulu unless wangekuwepo wabunge wa upinzani.Niamini Wabunge watakuwa wamepitia bandiko langu CAG abebe msalaba wake na mengine mengi humu JF, kuhusu ripoti ya CAG, wakati wa kuijadili
Kwani uliwahi kupungua lini? Kila mwaka tokea 2009 ripoti ya CAG imejaa ufisadi tu katika Kila idara ya serikali na halmashauri.1) kwa nini ubadhilifu unazidi kuwa mkubwa zaidi?
Sababu bunge limejaa CCM so wanalindana lakini huko nyuma bunge la 9 na 10 tulikua tunaona Kila ripoti ya CAG basi Kuna vichwa vya mawaziri vilitumbuliwa.2) kwa nini wahusika hawachukuliwi hatua kali?
Haliwezi fanyika kitu mpaka siku bunge likiwa na uhuru. Kwa Sasa wanafanya kazi kwa maelekezo ya Lumumba, wakikosoa sana basi 2025 wanajua watakatwa!! Mfano Mpina kamkosoa sana Mama keshakatwa ujumbe wa NEC kitaifa na mkoani. Ndugai pia alijaribu kukosoa mikopo akaliwa kichwa!!3)Tangu mmeongelea ubadhilifu huu ni kipi kimefanyika na eneo lipii?
Haupo, na ndio maana tunadai katiba mpya Ili Rais asiwe na mamlaka ya kuvunja bunge pale anapopingwa na kuwepo wagombea binafsi Ili wawe huru kukaripia ufisadi bila kuhofia viti vyao kuchukuliwa.4) je uwajibikaji upo kwa wasimamizi wa taasisi husika?
Ikiwa hivyo, wasubiri kitakachowatokea 2025. Hata hivyo, viongozi wa upinzani hawaoneshi nia ya dhati ya kuiondoa CCM madarakani baada ya kupewa rukhsa ya kufanya siasa majukwaani. Au ni kwa sababu Awamu ya sasa imejikita kwenye maendeleo ya siasa badala ya vitu!!!Una expect kweli wabunge wa CCM watajadili na kuchukua hatua? PAC yenyewe inaongozwa na CCM unatarajia watachukua hatua Gani zaidi ya kutoa onyo tu!! Hakuna waziri atajiuzulu unless wangekuwepo wabunge wa upinzani.