Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kineingiwa na hofu kubwa kufuatia utendaji wa baraza jipya la mawaziri ambao kwa kiwango kikubwa uteuzi wake ulitokana na hoja za CHADEMA kuhusu utendaji mbovu wa baadhi ya mawaziri vijana.
Hata hivyo wana nchi walio wengi sasa wamerudisha kwa kasi imani yao kwa serikali na wana matarajio makubwa hasa Mhe. Muhongo Mh Tibaijuka, Mh. Mwakyembe na Mh Kagasheki.
Wakazi wa Kibaha ndo walitoa mpya juzi baada ya kukili kuwa itakuwa ni kichekesho kuitoa CCM madarakani na kumfanya Magufuli na Muhongo warudi nyumbani eti sasa Sugu la Lema ndo wawe mawaziri. Lakini wachambuzi wa CHADEMA wamekuwa wakisema kuna udhaifu mwingine wa CCM ingeachwa ili utumike wakati wa Uchauzi vinginevyo ni kuwaamsha CCM
Hata hivyo wana nchi walio wengi sasa wamerudisha kwa kasi imani yao kwa serikali na wana matarajio makubwa hasa Mhe. Muhongo Mh Tibaijuka, Mh. Mwakyembe na Mh Kagasheki.
Wakazi wa Kibaha ndo walitoa mpya juzi baada ya kukili kuwa itakuwa ni kichekesho kuitoa CCM madarakani na kumfanya Magufuli na Muhongo warudi nyumbani eti sasa Sugu la Lema ndo wawe mawaziri. Lakini wachambuzi wa CHADEMA wamekuwa wakisema kuna udhaifu mwingine wa CCM ingeachwa ili utumike wakati wa Uchauzi vinginevyo ni kuwaamsha CCM