estlovie
Member
- Jan 2, 2012
- 18
- 2
Mgeeeeni tumeshazoea anakaribishwa setn rum tuuuu,mi ckubali nataka nikaribishwe kona zote jikon,lue, mpaka aaa bedrum la cvyo ni afadha;i niishie njeee....mgen mie napenda kujishughulisha hasa ninapokaribishwa na wenyeji,...huanza kufanya usafi,kutandika kitanda na kupika kisha kuondoka....ila kama mwenyeji atanipenda sanaaaa na alinikaribisha vzr bs huwa na tendency ya kurud mara kwa mara ila cpend kuwa mwenyeji,mi always ni mgen