Monasha
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 561
- 422
Naitwa Zakayo Olle-Shaudo, kutoka Ngorongoro.
Nimeingia kwenye jamii hii nikiwa na imani kwamba tutashirikiana kwa mambo kadha wa kadha yanayonihusu mimi, wewe, yule na hatimaye yanayoihusu jamii nzima, taifa na hata dunia nzima pia.
Kwa pamoja tutaweza. Kinachotakiwa ni kuwajibika tu waungwana.
Tujadili mambo yanayoijenga jamii na si kubomoa jamii.
Asanteni sana.eace:
Nimeingia kwenye jamii hii nikiwa na imani kwamba tutashirikiana kwa mambo kadha wa kadha yanayonihusu mimi, wewe, yule na hatimaye yanayoihusu jamii nzima, taifa na hata dunia nzima pia.
Kwa pamoja tutaweza. Kinachotakiwa ni kuwajibika tu waungwana.
Tujadili mambo yanayoijenga jamii na si kubomoa jamii.
Asanteni sana.eace: