shoga
Mkuu Katavi,
naona bwabwa amegusa sana hisia zako! Maana unamkaribisha mara ya tatu sasa!
Karibu sana JF mkuu.
Boflo karibu sana, pita mpka chumbani, karibu.
is it!shoga
Mkuu huyo unayemkaribisha ni mkongwe zaidi yako. Umeifumua thread ya 2010 wapi???Karibu sana member
a.k.a bwabwaBoflooooooo
Hamjambo Mabibi na Mabwana? Kuanzia leo nitakuwa pamoja na nyinyi, mnipokee vyema, mnikaribishe vyema, mnipe vyenu vya tunu na vya thamani nami nitakupeni vyangu vyote, sina zaidi...thanx