asante sana Maria, wewe ndio wa kwanza kunipokea, kwa nini vingine nope? usiogope sina maana mbaya, i mean maneno yenu ya thamani
shoga
nakushukuru sana mbongo kwa kunipa mchongo, kwani hapa jf kuna basha mmoja tu??Kama wewe ni shoga basi kulikuwa na mtu humu anaitwa BASHAWANGU nadhani mkikutana mtakuwa marafiki wazuri sana nyie na atasaidia sana kukutatulia shida zako za nyuma..
shoga
preta mpaka sasa hivi hujalala? pole sana, mimi shoga wa kinyume na maumbile, usihofu lakini...hii inatokana na maumbile ya kuzidiwa hormons nyingi za kike mwailinihebu nieleweshe wewe ni shoga wa kwenda kicheni pati au ni yule wa tabia kinyume na maadili?
preta mpaka sasa hivi hujalala? pole sana, mimi shoga wa kinyume na maumbile, usihofu lakini...hii inatokana na maumbile ya kuzidiwa hormons nyingi za kike mwailini
preta mpaka sasa hivi hujalala? pole sana, mimi shoga wa kinyume na maumbile, usihofu lakini...hii inatokana na maumbile ya kuzidiwa hormons nyingi za kike mwailini
boy or girlie?
shoga
Kama wewe ni shoga basi kulikuwa na mtu humu anaitwa BASHAWANGU nadhani mkikutana mtakuwa marafiki wazuri sana nyie na atasaidia sana kukutatulia shida zako za nyuma..
nakushukuru sana mbongo kwa kunipa mchongo, kwani hapa jf kuna basha mmoja tu??
Mmmmh uko pande gani za nchi hii. Karibu sana!