Acha ngeseu dogo.Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju.
Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani huko aliko?
Tangu ashindwe kuudaka ule nchale sijui yu khali gani hukoMgonjwa wako halafu hujui alipView attachment 2593579