Hodi hodi

BUDANOV

JF-Expert Member
Apr 19, 2023
2,848
4,348
Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju.

Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani huko aliko?
 
Mgonjwa wako halafu hujui alip
gru-despicable-me-3-2017 (3).jpg
 
Back
Top Bottom