Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,422
- 21,115
Nimekuwa mfatiliaji wa JF kwa takriban miaka miwili sasa na nikavutiwa na mada moto moto zitolewazo humu ndani pamoja na watu makini wenye uwezo wa kujenga hoja kama vile kiranga , na wengineo wenye mada kali kama vile stunter bila kumsahau Mshana Jr ,
Hivyo basi naombeni mnipokee kwa mikono miwili , vile vile ningependa kupata msichana wa kubadilishana nae mawazo aliye teyali anifuate inbox
Natumai mtanipokea kwa mikono miwili na ombi langu la kupata mpenzi pia litazingatiwa!!!!!!!!!
Hivyo basi naombeni mnipokee kwa mikono miwili , vile vile ningependa kupata msichana wa kubadilishana nae mawazo aliye teyali anifuate inbox
Natumai mtanipokea kwa mikono miwili na ombi langu la kupata mpenzi pia litazingatiwa!!!!!!!!!