Hodi hodi Wana bodi

professional ethics

Senior Member
Dec 24, 2023
108
352
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima wa afya. Kipekee hii ni mara yangu ya kwanza kufungua account katika mtandao huu wa jamii forum.

Wakuu naombeni ushirikiano wenu kwa kipindi chote takapo kuwa humu. Naamini uwepo wangu utaleta chachu hasa chanya katika jukwaa la elimu na jamii intelligence.


It's me student teacher from one of university in Tanzania.
 
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima wa afya. Kipekee hii ni mara yangu ya kwanza kufungua account katika mtandao huu wa jamii forum.

Wakuu naombeni ushirikiano wenu kwa kipindi chote takapo kuwa humu. Naamini uwepo wangu utaleta chachu hasa chanya katika jukwaa la elimu na jamii intelligence.


It's me student teacher from one of university in Tanzania.
Karibu. Hapa Kazi Tu na Maendeleo hayana Chama
 
Back
Top Bottom